Uchaguzi 2020 Mbowe itampa wakati mgumu sana kumnadi Lissu

Kumbe shida yako ni Mbowe kutomsifia Lissu kwenye mkutano huko Arusha, sasa kuna haja gani ya kumpigia debe Lissu wakati kila mtanzania anamjua na anayajua majaribu aliyopitia?

Mjomba kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza.
 
Alipigwa yale marisasi kwa amri ya Mwenyekiti, mchana kweupe na kwenye makazi ya viongozi huku walinzi wa maeneo hayo wakiwa wameondolewa kupisha "baraka" za jiwe zitimizwe.

mpaka apo hauna ushahidi wowote unaongea ujinga tu, mm naweza nkasema pia ni chadema walifanya ivo na walitumia mbinu izo izo, unajua mnaonekana kama vichaa flan ilo kundi lenu la saccos
 
Tatizo mnajitoa ufahamu kwenye janga la Korona, na huko kunyanyasa watu sijui unaongolea nini. Mshaurini ndugu yenu aache kutoa hizo boko kwenye korona
 
Ulitaka mwenyekiti aseme nini?? Kwani kampeni ishaanza???
Sasa wewe huoni ndugu yako alikwishaanza kampeni hata kabla ya muda wake kuanza? Si anajifanya much know, sasa ngoja uone atakavyokatwa, na angalieni msije mkasusa uchaguzi. We unaona vyama vingine vinafanya kampeni kabla ya muda wake?
 
Ndo maana utabaki hivo hivo. Kwenye research huwa kunakipengele cha kufanya literature review, unakijua? Basi kifanyie kazi
Mnateremeka nini nyie...kama ww unajua kufanya Literature review si ufanye kuhusu upimbi wa Chama chenu
 
..nadhani mnaziogopa hizi hoja na ndiyo maana mnatumia nguvu nyingi kuzi-crush.
Nikupe angalizo tu kuwa ubadilishe katiba usibadilishe kama utakuwa na viongozi kama akina Tundulisu, nikuiachia nchi kuwa mikononi ya mabeberu. Unayakumbuka Makinikia alivyokuwa anafanya?
 
Mnateremeka nini nyie...kama ww unajua kufanya Literature review si ufanye kuhusu upimbi wa Chama chenu
Lazima tuwe tunawapa angalizo, ili msiwe mnabugia kila kitu kutoka kwa viongozi wenu
 
Sasa mwangalie huyu?
 
Mnachokitaka nyie msifikiri ndio kizuri sana WALA wale wanachokitaka usifikiri ndio kibaya sana acha kila mtu afurahie kile anachokitaka hata kama sio kile usichokitaka na dunia yenyewe ndio iko hivyo.
 
Nyie nyumbu bana watu waajabu sana kwa kubadilika, kwenye list of shame, Tl et al., hakumuita fisaidi EL afu mkaanza kumsafisha tena? CCM itabaki madarakani mpaka huu upinzani njaa uuangane na kuwa chama kimoja.
Nyerere aliwapa ushauli ila vile vichwa vyenu ni maji bado vileviele.
 
NA TUNAWAPINZANI WENDAWAZIMU HAIJAWAHI TOKEA, YAMESHINDWA KUUNGANA NAKUWA CHAMA KIMOJA ILI KIWEZE KULETA UPINZANI MADHUBUTI ANGALAU KAMA ULE WA 2015. TATIZO LA KUVIFANYA VYAMA VYA SIASA MALI YA MTU BALI YA KUWA CHAMA CHA WATU WOTE, NDO MAANA MKO HIVO MPAKA LEO.
 
Delete ccm Oct 28
 
Hamna kitu kama hicho Lissu kama Lisu anajinadi mwenyewe haihitaji mbwembwe kumwelewa
 
Sasa wewe huoni ndugu yako alikwishaanza kampeni hata kabla ya muda wake kuanza? Si anajifanya much know, sasa ngoja uone atakavyokatwa, na angalieni msije mkasusa uchaguzi. We unaona vyama vingine vinafanya kampeni kabla ya muda wake?
Kutafuta wadhanmini ni kampeni??? Miaka yote chaguzi zimekuwa hivi, wagombea hutafuta wadhamini mikoani, 2020 sheria imebadilika lini??
 
Kwamba hujui kila rais anapomalza muda wake hasa miaka 10 uchaguz unakuwa moto sana? Je hujui kampen hazijaanza? Je hujui watu wametishwa sana mpaka vyombo vya habari havipo huru tena? Je umesahau demokrasia iliyokuwepo wakat wa kikwete?
 
Nikupe angalizo tu kuwa ubadilishe katiba usibadilishe kama utakuwa na viongozi kama akina Tundulisu, nikuiachia nchi kuwa mikononi ya mabeberu. Unayakumbuka Makinikia alivyokuwa anafanya?

..nasikitika kuwa umepotoshwa kuhusu makinikia.

..bado yanasafirishwa kwenda nje, na wananchi hatujaambiwa yanapelekwa wapi.

..Jpm alikuwa anatafuta popularity tu, lakini suala la utetezi wa rasilimali TL alitetea tangu miaka ya 90.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…