Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa hawa wanatekana wao kwa wao, halafu wanaisingizia serikali () Siasa za kipopoma kweli yaan.
Alipigwa yale marisasi kwa amri ya Mwenyekiti, mchana kweupe na kwenye makazi ya viongozi huku walinzi wa maeneo hayo wakiwa wameondolewa kupisha "baraka" za jiwe zitimizwe.
Tatizo mnajitoa ufahamu kwenye janga la Korona, na huko kunyanyasa watu sijui unaongolea nini. Mshaurini ndugu yenu aache kutoa hizo boko kwenye koronaWewe ndo kilaza ambaye hujaelewa hoja ya Lissu na hutaielewa. Lissu kasema Mwl Nyerere alijenga mabwawa yote tunayotumia sasa ila hakuna mahala Nyerere alinyanyasa watu at the expense ya miradi aliyoifanya. Sasa wewe sema humu wapi Nyerere alinyanyasa watu at the expense ya miradi aliyofanya????
Huyu anajenga bwawa moja tu ila anapiga watu risasi na kubambika watu makesi wanaomkosoa!!! Sasa ana uhalali gani wa kufanya ivo???!
Hujaelewa hoja ya Tundu Lissu juu ya corona!!! Kwanza nikuulize je watu hawakuwa wakizikwa usiku???? Kama sio kwa nini Gambo akiwa RC Arusha alizipiga marufuku mamlaka kuzika watu usiku????
Hoja ya Lissu kwenye Corona ni kuwa Raisi alionesha kutokujali afya za watu na maisha ya watu!!! Hapa Hata mie nakubaliana nae. Katika hili kama unamtetea magufuli nioneshe wapi alitoa pole kwa familia zilizopoteza watu wao kwenye janga la corona!!! Nipe uthibitisho hapa!!
Sasa wewe huoni ndugu yako alikwishaanza kampeni hata kabla ya muda wake kuanza? Si anajifanya much know, sasa ngoja uone atakavyokatwa, na angalieni msije mkasusa uchaguzi. We unaona vyama vingine vinafanya kampeni kabla ya muda wake?Ulitaka mwenyekiti aseme nini?? Kwani kampeni ishaanza???
Mnateremeka nini nyie...kama ww unajua kufanya Literature review si ufanye kuhusu upimbi wa Chama chenuNdo maana utabaki hivo hivo. Kwenye research huwa kunakipengele cha kufanya literature review, unakijua? Basi kifanyie kazi
Nikupe angalizo tu kuwa ubadilishe katiba usibadilishe kama utakuwa na viongozi kama akina Tundulisu, nikuiachia nchi kuwa mikononi ya mabeberu. Unayakumbuka Makinikia alivyokuwa anafanya?..nadhani mnaziogopa hizi hoja na ndiyo maana mnatumia nguvu nyingi kuzi-crush.
Lazima tuwe tunawapa angalizo, ili msiwe mnabugia kila kitu kutoka kwa viongozi wenuMnateremeka nini nyie...kama ww unajua kufanya Literature review si ufanye kuhusu upimbi wa Chama chenu
Sasa mwangalie huyu?Tatizo lako unatumia asilimia kidogo tu ya akili yako! Kama CHADEMA wanatengenezaga matukio, kama Chacha Wangwe, Lisu, kuchoma office zao wenyewe, nk. Kama Wewe na wenzako mnavyo tuaminisha, Kwanini serikali ikaye kimya? Kama waliweza kuwapa kesi ya Aquilina, ambayo muuaji anafahamika, wameshindwaje kutumia hayo matukio kukabiliana nao kwa urahisi tu?!
Unapotaka kusema uongo, peleka kwa chekechea wenzako huko Facebook, Hapa ni home of great thinkers!
Nyie nyumbu bana watu waajabu sana kwa kubadilika, kwenye list of shame, Tl et al., hakumuita fisaidi EL afu mkaanza kumsafisha tena? CCM itabaki madarakani mpaka huu upinzani njaa uuangane na kuwa chama kimoja.Na wewe hapa unaona umecjambuaaaaa! CCM hawana watu wa kuwafanyia propaganda kulingana na kizazi hiki. Wana wapigaji tu wanaopewa Hela kuja kutalii kwenye mitandao.
Lowassa si TL. Lowassa alikuwa mwana CCM aliyejeruhiwa. Hakuna na DNA ya mabadiliko. Hakuna na makovu ya mateso toka CCM na magenge yake ya uhalifu. Hakuwa na hasira ya kweli ya kuonewa. Mbowe alimkatibisha kama mwananchama mwingine tu katika mazingira ya mpito. Hakuwa na sababu ya kumzuwia.
Mbowe bado anaaminika sana. Wengi wanajua alimwamini Lowassa toka CCM kama ambavyo Magufuli amewaamini mamia ya Wana Chadema wanaohamia CCM.
Kumnadi TL? Kwani TL anahitaji kunadiwa na mtu? Ni Wana CCM tubwwnaojifanya hamnazo. Wauaji wa CCM na Magufuli ndiyo wamemtangaza TL. Si ndani ya Tanzania tu, bali Kimataifa.
TL hahitaji hata mabango. Kivuli chake tu kinatosha kumfanya Jiwe aamrishe jeshi la polisi likafanye fujo. Sauti yake tu inamdanya Magufuli apimwe presha mara 3 kwa siku.
Halafu eti unakuja hapa na uchambuzi huu wa elimu ya msingi?
Jipangeni sawa sawa. The end has come.
NA TUNAWAPINZANI WENDAWAZIMU HAIJAWAHI TOKEA, YAMESHINDWA KUUNGANA NAKUWA CHAMA KIMOJA ILI KIWEZE KULETA UPINZANI MADHUBUTI ANGALAU KAMA ULE WA 2015. TATIZO LA KUVIFANYA VYAMA VYA SIASA MALI YA MTU BALI YA KUWA CHAMA CHA WATU WOTE, NDO MAANA MKO HIVO MPAKA LEO.Tuna utawala wa kipumbavu sana, enzi za Nyerere watawala wa namna hii aliwaita WASHENZI NA WENDAWAZIMU. Kushindwa kuwajibika kwa serikali hii katika matukio ya kifedhuli yanayoendelea nchini, inamaana TANZANIA HATUNA SERIKALI. Bali kuna GENGE TU linalotawala kihuni na kihalifu, utawala wa namna hii SASA BASI.
Ndugu zangu,
Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.
Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()
().
Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.
- Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
- Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
- Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Hamna kitu kama hicho Lissu kama Lisu anajinadi mwenyewe haihitaji mbwembwe kumwelewaNdugu zangu,
Napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Katika uchaguzi ambao niliufuatilia kwa karibu kubwa sana tangia nianze kufuatilia siasa na wanasiasa, basi ulikuwa ule wa 2015. Ulikuwa uchaguzi wa kipekee sana kuwahi kutokea hapa nchini, na ulikuwa uchaguzi mgumu sana kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ila CCM walicheza karata kubwa sana ya kumweka Mh. Magufuli. Kwa kutumia rekodi za nyuma za umahili wake wa uchapazi kazi katika kila wizara aliyoteuliwa, ilinifanya kura yangu nimpe huyu ndugu. Na kama CCM wangempitisha Membe, basi kura yangu ingeenda kwa Mh. Lowasa. Na itachukua miaka mingi sana kuwa na uchaguzi kama ule.
Kamari ambayo waliicheza Ukawa, hasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kumkaribisa Mh. Lowasa (), Mh. Mbowe alikuwa na furaha mno na confidence kubwa sana huku alikuwa anajua kabisa Lowasa anaenda kuingia Ikulu, kulingana na nyota ya siasa amabayo Lowasa alikuwa nayo ambayo ilisababishwa na kuwa na maandalizi ya muda mrefu kwa nafasi hii kubwa kabisa katika kulitumikia taifa. Kama ukisikia mafuriko ya watu kipindi cha Mh. Lowasa, basi yalikuwa mafuriko kwelikweli, Tundulisu hawezi hata kumfikia nusu yake ()
().
Kipindi hiki naona kama Mh. Mbowe hana ile confidence kabisa ambayo aliyokuwa nayo 2015 kipindi cha Mh. Lowasa (). Kwa kutumia uwezo wangu, ambao amenipa mwenyezi Mungu wa kusoma saikolojia ya mtu, yafuatayo yanaweza kuwa ndio sababu ya Mh. Mbowe kuloose confidence kabisa kuelekea uchaguzi mkuu, yaani hajui kinachoenda kutokea. TL alipokuwa Arusha kusaka wadhamini, wananchi walimtaka Mbowe aongee, Mbowe akaja na hakusema chapuo lolote kwa TL, badala yake alitaja kauli mbiu tu (). Kwa jambo hili kwangu linaweza kubeba hoja zifuatazo:
Namalizia nakusema, Mh. Mbowe hana confidence kabisa kwenye uchaguzi huu, japokuwa wengine wanaonekana wanayo, ila ni tofauti sana na huyu ndugu, anajua kabisa Lisu hawezi kuifikia level ya Lowasa, hata nusu yake hawezi, ila ataleta upinzani angalau kidogo tu.
- Mbowe alikuwa anajua kabisa kuwa watu walikuwa wanamtaka Tundulisu ili aweze kupeperusha bendera ya uraisi Chadema kwa sababu ya lile tukio la mashambulizi dhidi yake ili kulenga kura za huruma ya wananchi, ila bado najiuliza kwa nini aliamua naye kutangaza nia, baadae akaacha?
- Au Mbowe aliogopa aibu ya kushindwa na Lisu, maana asilimia kubwa ya wajumbe walikuwa wanataka Lisu apeperushe bendera?
- Kuna uwezekano Mh. Mbowe alikuwa anajua kabisa, Tundulisu hana uwezo wa kupambana na Magufuli, ila kura atakazopata zitakuwa za huruma ya wananchi, ila kwakuwa mkutano mkuu ulikuwa unamtaka TL, basi hakuwa na namna yoyote zaida ya kuunga mkono
Asante,
Nawasilisha
Kejuu
Sasa mwangalie huyu?
Unaongelea watu gani mbona hatukuelewi njaa mbaya sana uzuri sie wananchi tunawacheki tu kwa dharauMkiambiwa ukweli mnaleta excuse, we clip ya waitara, Lijuakali hukuziona? Kazi kwako
Kutafuta wadhanmini ni kampeni??? Miaka yote chaguzi zimekuwa hivi, wagombea hutafuta wadhamini mikoani, 2020 sheria imebadilika lini??Sasa wewe huoni ndugu yako alikwishaanza kampeni hata kabla ya muda wake kuanza? Si anajifanya much know, sasa ngoja uone atakavyokatwa, na angalieni msije mkasusa uchaguzi. We unaona vyama vingine vinafanya kampeni kabla ya muda wake?
Nikupe angalizo tu kuwa ubadilishe katiba usibadilishe kama utakuwa na viongozi kama akina Tundulisu, nikuiachia nchi kuwa mikononi ya mabeberu. Unayakumbuka Makinikia alivyokuwa anafanya?