MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,362
Aje tu ajionee ndugu zake wanavyokula vumbi la barabarani usiku na mchana wakati wa kusafirisha makontena ya makinikia. Kuanzia Kakola hadi kahama ni wingu zito la vumbi kwa malori ya makinikia tulioambiwa HAYATOKI...nasikitika kuwa umepotoshwa kuhusu makinikia.
..bado yanasafirishwa kwenda nje, na wananchi hatujaambiwa yanapelekwa wapi.
..Jpm alikuwa anatafuta popularity tu, lakini suala la utetezi wa rasilimali TL alitetea tangu miaka ya 90.