Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Unafikiri Watanzania wa leo ni wajinga saaana eeeh????Hakuna wabuge wala madiwani walionunuliwa, wameondoka kwa matatizo ya chama chenu, na sio hao hata wazee wenu wa ushauri nao walinunuliwa? baregu, safari? Wanaondoka sababu wanaona kua nyie ni pasua kichwa kikundi cha wahuni watu wenye hekima hawawezi kukaa humo, ni bora wakafanye siasa kwenye vyama vingine.