johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Mbona makatibu wa wilaya na mikoa mnawafanyisha kazi bila malipo yaani mnawatia umasikini!!
Kifupi ni kwamba hamna mipango wala vipaumbele.. kama mngekuwa mnawalipa watumishi wenu na kwa wakati ningewaelewa.
Lakini wengi hawalipi na wanaolipwa wanakaa mamiezi bila malipo halafu mkipata mnaenda kutanua mimi siwaelewi.
Hamna tofauti na yule jamaa anaenunua ndege wakati wanafunzi hawajalipwa fedha za kujikimu wamegeuka makahaba na vibenten kama watumishi wenu
It is shame
Anayoyafanya Mbowe yatatunyima uhalali wa kuikosoa serikali bila kunyooshewa kidole
Opposition was meant to be the best option.. a model.. yaani kioo cha kukitazama serikali na chama tawala.
Alizaliwa Holi la ngombe sio kwa sababu pesa walikuwa hawana Bali nyumba ya wageni ilikuwa imejaa .Kasome Biblia Tena sababu ya Yesu kuzaliwa holini haikuwa sababu ya kuwa wazazi wake walikuwa maskiniYesu alizaliwa kwenye zizi la Ng’ombe na siyo ndani ya Hekalu, na yule ni ,, Mungu” kulikuwa na sababu,
Umeongea kweli tupu!Alizaliwa Holi la ngombe sio kwa sababu pesa walikuwa hawana Bali nyumba ya wageni ilikuwa imejaa .Kasome Biblia Tena sababu ya Yesu kuzaliwa holini haikuwa sababu ya kuwa wazazi wake walikuwa maskini
Mpe elimu huyu mbuku saba mwenzioAlizaliwa Holi la ngombe sio kwa sababu pesa walikuwa hawana Bali nyumba ya wageni ilikuwa imejaa .Kasome Biblia Tena sababu ya Yesu kuzaliwa holini haikuwa sababu ya kuwa wazazi wake walikuwa maskini
Alizaliwa Holi la ngombe sio kwa sababu pesa walikuwa hawana Bali nyumba ya wageni ilikuwa imejaa .Kasome Biblia Tena sababu ya Yesu kuzaliwa holini haikuwa sababu ya kuwa wazazi wake walikuwa maskini
Wakisema ukweli tuko nao tunachokataa uongo.Mbowe kwa hili namuunga mkono kabisa
Hahahaha siku hizi umeanza kuwa mpole! Utakuja kwetu tu very soon na tutakupokea! Nina miaka kumi na moja humu! Nimeona mengi, nimejifunza mengi!Wakisema ukweli tuko nao tunachokataa uongo.Mbowe kwa hili namuunga mkono kabisa
Lete ushahidi Kama Yesu alizaliwa na kukulia Hali duni .Yesu hajawahi zaliwa duni akiwa mtoto mchanga aliletewa zawadi dhahabu na mamajusi .Alianza kumiliki dhahabu akiwa mtoto mchanga.Siyo kweli, Yesu alizaliwa kwenye hali Duni kwa sababu maalumu, na ndo maisha yake yote aliishi kama mtu Duni asiyependa makuu, aliishi na masikini, yule Mungu iweje ashindwe kutatua tatizo dogo kama hilo la kukosa nafasi kama alitaka kuzaliwa kwenye Hekalu kama Mfalme?
Lete ushahidi Kama alizaliwa na kukulia Hali duni .Yesu hajawahi zaliwa duni akiwa mtoto mchanga aliletewa dhahabu na mamajusi .Alianza kumiliki dhahabu akiwa mtoto mchanga
Kukusaidia tu Yesu alilisha maelfu bure .Lofa hawezi kulisha watu maelfu Kama Yesu alivyofanya.Anayekuambia Yesu alikuwa maskini mwongo mkubwaKama Yesu alizaliwa na kuishi kitajiri basi inabadilisha kila kitu ninachokifahamu na nilichowahi kufundishwa na kukisikia kuhusu yeye, alichokisimamia na alichokifundisha, hata hivyo mimi siyo Mwanatheolojia ila kwangu nilifikiri ilikuwa ni lazima azaliwe kwenye hali Duni tumwamini, sijui lkn mimi siyo Mtaalamu wa Biblia.
Kukusaidia tu Yesu alilisha maelfu bure .Lofa hawezi kulisha watu maelfu Kama Yesu alivyofanya.Anayekuambia Yesu alikuwa maskini mwongo mkubwa