Masanjaone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 844
- 596
Maisha ya yesu yalikuwa yakawaida sana, ndo maana walimdharau aliishi maisha ya chini ili awaokoe wanadamu sasa mbowe anasema umaskini nilaana wakati yesu anesema nivigimu tajiri kuingia ufalme wa mbingu bali nirahisi ngamia kupenya tundu la sindano. Ndo maana anatumbua pesa za wanachama wa chadema maskini wanaofanya kazi kwa malipo ya furana na bila ofice hafu unawaambia umaskini ni raana dharau kuu kabisaUmeongea kweli tupu!