johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,562
Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda wake mzee Freeman Mbowe amesema chama chao kinaamini kuwa Umaskini ni laana na kwahiyo wataendelea kuhubiri sera ya utajirisho.
Mbowe amesema kila mwanachadema ni tajiri wa Roho hivyo wanakerwa sana na viongozi wa CCM wanaoukumbatia umaskini.
Mbowe amesisitiza kuwa Chadema inajiandaa kushika dola hivyo wananchi wa Tanzania waachane na Unyonge na kujiandaa kuwa matajiri wa kweli.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
=====
Mbowe amesema kila mwanachadema ni tajiri wa Roho hivyo wanakerwa sana na viongozi wa CCM wanaoukumbatia umaskini.
Mbowe amesisitiza kuwa Chadema inajiandaa kushika dola hivyo wananchi wa Tanzania waachane na Unyonge na kujiandaa kuwa matajiri wa kweli.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
=====
Mbona makatibu wa wilaya na mikoa mnawafanyisha kazi bila malipo yaani mnawatia umasikini!!
Kifupi ni kwamba hamna mipango wala vipaumbele.. kama mngekuwa mnawalipa watumishi wenu na kwa wakati ningewaelewa.
Lakini wengi hawalipi na wanaolipwa wanakaa mamiezi bila malipo halafu mkipata mnaenda kutanua mimi siwaelewi.
Hamna tofauti na yule jamaa anaenunua ndege wakati wanafunzi hawajalipwa fedha za kujikimu wamegeuka makahaba na vibenten kama watumishi wenu
It is shame
Anayoyafanya Mbowe yatatunyima uhalali wa kuikosoa serikali bila kunyooshewa kidole
Opposition was meant to be the best option.. a model.. yaani kioo cha kukitazama serikali na chama tawala.