OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Mmmmmmmmm, niwazo zuri sana na nnawapongeza sana chadema ila wasiwasi wangu ni je wataweza kukiendesha kweli chma bila ruzuku kweli?????????!!!!!!!!!!!!
Kwani vyama vya ukombozi kama TANU, KANU, UNIP, FRELIMO, ANC, MPLA nk vilipata ruzuku toka wapi? zaidi ya michango na kujitolea kwa wanamapinduzi na wapenda mabadiliko!!