Mbowe: CHADEMA hatutaki Ruzuku kwani ni utumwa kwa vyama vya siasa nchini

Habari wa JF! Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni mhe. Kamanda Freeman Mbowe ameweka bayana msimamo mpya wa chama chake Chadema kwamba hawatatumia ruzuku ya serkali ktk kuendesha na kujenga chama kuanzia na uchaguzi wa arumeru, Mbowe amesema kwamba ruzuku ni utumwa wa vyama vya siasa nchini kwahiyo amesema kwa kuwa CDM ni chama cha watu basi kitajengwa na watu kwa kuchangiwa michango na watu pasipo kutegemea ruzuku ya serikali" source star tv na watu wote walokuwepo arumeru leo na mimi mwenyewe"

Nampongea kiongozi wangu,Imesikika very clear,

ni lazima tukate minyororo ya shingo ili kuondoka na huu utumwa wa CCM na Serikali yake.
 
Mkumbuke kugawanya sawa pia isiwe kuna kundi la kupata na kukosa

Tunazungumzia kujenga chama,ila inapobidi mgao wa eneo husika,hufanyika kwa maandishi na mihuri ya wanasheria waliobobea kwenye taaluma zao.

Kwa hapo Mungu alituona.sema lingine Topical.
 
Tunazungumzia kujenga chama,ila inapobidi mgao wa eneo husika,hufanyika kwa maandishi na mihuri ya wanasheria waliobobea kwenye taaluma zao.

Kwa hapo Mungu alituona.sema lingine Topical.

Asante mama

Lakini mbona inasemekana kuna kundi la kupata na kundi la kutumika?

Mnawasahau sana vijana wenu bana 20,000/- haziwatoshi
 
Hivi Chadema isiposhinda 2015 itakuwaje?
Maana kuna watu wameshajiaminisha wamekaa wanasubiri wakombozi wao 2015!!!.
 
Lakini hii ni sera ya wale jamaa wa CCK! Ila ndiyo hivyo tena wamepigwa bao la kisigino fasta fasta!! Can't believe this, politics is game of chances!!
 
jf wenzangu tuogope siasa za majukwaani,kwl cdm hawatak ruzuku?kitajiendeshaje?huko vijijin ktafikaje?achanen na propaganda hz za kisiasa
 
Miaka 35 CCM tegenezi kwa ruzuku.. CDM big up naunga mkono 100% together tunawakilisha..
Wapi Rejao,Ritz?
Inatakiwa kwanza tufahamu base ya CDM kukataa ruzuku. Hawa CDM kupinga ruzuku ni kwasababu ya kuona kuwa always wapo kwenye losing side. Tukumbuke kuwa ruzuku inatolewa kutokana na percentage ya wakilishi chama kinaokuwa nao. Kwa CDM wana wawakilishi wachache sana na wanaona kuwa kila mara wanapoteza na CCM ndio beneficiary wakubwa wa ruzuku kwa sababu ya idadi kubwa ya wawakilishi.
CDM, msiwaadae wananchi kwa kukataa ruzuku, malizeni kwanza mlilolianzisha la kupinga posho ndio mje kupinga ruzuku!
Kama kukataa posho mmeshindwa, ruzuku mtaweza? ule mshahara wa 8.2 net, mtalipa kwa kutumia nini????
 
wanategemea ruzuku toka kanisani.Kanisa liliwapa pesa nyingi wakati wa uchaguzi mkuu 2010,na udhamini bado unaendelea ndio maana anatoa kauli kama hio
 
Hivi Chadema isiposhinda 2015 itakuwaje?
Maana kuna watu wameshajiaminisha wamekaa wanasubiri wakombozi wao 2015!!!.

Hapana Kiziza,
Issue siyo kushinda au kushindwa,Chadema leo inajivunia mambo matatu makubwa.

1.Chadema imefanikiwa kila mara kuwarudisha wapinzani wake mezani kujipanga upya,unapopigana vita huo ni ushindi mkubwa,pale wanaporudi mezani ninyi mnapiga hatua nyingine ya ushindi.

2.Kazi kubwa inayofanya inaonekana dhahiri,kwani leo kila Mtanzania anatambua haki zake ni nini na almost 80% wanajua vipi na wapi wazisimamie na kuzidai.

3.Imefanikiwa kulishawishi kundi kubwa katika jamii kuwaamini. Mjini na vijijini.

Hayo matatu ni ushindi mkubwa sana kwa chadema towards 2015.

Lakini Utawala wa haki na Mamlaka ya kweli hutoka kwa Mungu. lakini maandalizi ya moyo ni ya mwanadamu.
 
Hapana Kiziza,
Issue siyo kushinda au kushindwa,Chadema leo inajivunia mambo matatu makubwa.

1.Chadema imefanikiwa kila mara kuwarudisha wapinzani wake mezani kujipanga upya,unapopigana vita huo ni ushindi mkubwa,pale wanaporudi mezani ninyi mnapiga hatua nyingine ya ushindi.

2.Kazi kubwa inayofanya inaonekana dhahiri,kwani leo kila Mtanzania anatambua haki zake ni nini na almost 80% wanajua vipi na wapi wazisimamie na kuzidai.

3.Imefanikiwa kulishawishi kundi kubwa katika jamii kuwaamini. Mjini na vijijini.

Hayo matatu ni ushindi mkubwa sana kwa chadema towards 2015.

Lakini Utawala wa haki na Mamlaka ya kweli hutoka kwa Mungu. lakini maandalizi ya moyo ni ya mwanadamu.

Haya bibie, We tumwagie hizo porojo zako eeenh?
 
Hapana Kiziza,
Issue siyo kushinda au kushindwa,Chadema leo inajivunia mambo matatu makubwa.

1.Chadema imefanikiwa kila mara kuwarudisha wapinzani wake mezani kujipanga upya,unapopigana vita huo ni ushindi mkubwa,pale wanaporudi mezani ninyi mnapiga hatua nyingine ya ushindi.

2.Kazi kubwa inayofanya inaonekana dhahiri,kwani leo kila Mtanzania anatambua haki zake ni nini na almost 80% wanajua vipi na wapi wazisimamie na kuzidai.

3.Imefanikiwa kulishawishi kundi kubwa katika jamii kuwaamini. Mjini na vijijini.

Hayo matatu ni ushindi mkubwa sana kwa chadema towards 2015.



Lakini Utawala wa haki na Mamlaka ya kweli hutoka kwa Mungu. lakini maandalizi ya moyo ni ya mwanadamu.

Asante kwa ufafanuzi,Nafarijika kuona mtazamo
wa ushindi kwa jinsi hii pia na kuwa
ushindi si lazima kuwa chama tawala ingawa
kama chama hilo ni moja ya lengo kuu.
 
Hapana Kiziza,
Issue siyo kushinda au kushindwa,Chadema leo inajivunia mambo matatu makubwa.

1.Chadema imefanikiwa kila mara kuwarudisha wapinzani wake mezani kujipanga upya,unapopigana vita huo ni ushindi mkubwa,pale wanaporudi mezani ninyi mnapiga hatua nyingine ya ushindi.

2.Kazi kubwa inayofanya inaonekana dhahiri,kwani leo kila Mtanzania anatambua haki zake ni nini na almost 80% wanajua vipi na wapi wazisimamie na kuzidai.

3.Imefanikiwa kulishawishi kundi kubwa katika jamii kuwaamini. Mjini na vijijini.

Hayo matatu ni ushindi mkubwa sana kwa chadema towards 2015.

Lakini Utawala wa haki na Mamlaka ya kweli hutoka kwa Mungu. lakini maandalizi ya moyo ni ya mwanadamu.
acha kumtania mungu wewe,jiangalie una mheshimu na kumuogopa mungu? Amri ya sita umeizingatia au umeivunja.Wewe zungumza siasa ya mungu huyawezi,tubu acha dhambi halafu uje kuzungumza ya mungu lakini kwa sasa hatukuelewi.Zingatia ushauri acha jazba
 
Back
Top Bottom