Kiboko Yenu
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 311
- 65
kweli ruzuku watatumia kulipana posho na kujaza magari mafuta,aache unafiki kwa nini wasiandike barua kwa tendwa aisitishe hyo ruzuku tuone
mbowe huyo....naona taratibu unakuja kwenye line!!!! safi sana!!
wengine tumeshachangia tayari.changia CHADEMA ARUSHA ,m pesa 0757755333. Peeeeeeeeeeplesssssssssssssss
Acha wizi,hakuna zuzu hapa
kwa sasa ruzuku zipo kisheria chadema hawawezi kuzikataa na Mbowe hajasema eti ni msimamo wa chama ila amesema ruzuku sio nzuri.
Mkuu kwa nchi zetu hizi ruzuku ni janga. Watu wanaunda vyama na kuvifanya kama vitega uchumi vyao kwa kujipatia ruzuku. Ukombozi wa kweli utapatikana kwa watu kujitolea kama ambavyo watu walikuwa wakitolea hadi thumuni wakati wa vuguvugu za uhuru. Ningefurahi kama vyama vingekataa ruzuku na kurudi kwa wanachama kuchangia vyama vyao. Hii ingeonyesha committment ya wanachama kwa vyama vyao.Ruzuku kwa vyama vya siasa ni stahili na haki yao sio fadhila kwa vile inatokana na kodi inayolipwa. Nchi nyingi zilizoendelea na zinazoendelea hutoa ruzuku kwa vyama vyote vya siasa vilivyosajiliwa. Nchi nyingi za ukanda wa Scandinavia hutoa ruzuku kubwa zaidi kwa vyama vichanga vya siasa ili vipevuke na kukomaa ili kuongeza wigo wa demokrasia. Kwa hiyo Chadema kuchukua ruzuku ni stahili na haki ila wanachama wanaweza kuchangia zaidi ili kupanua uwezo wa kuendeleza shughuli za chama. Siafiki ruzuku hiyo kuachwa hata kama inapatikana kwa judo.
Mmmmmmmmm, niwazo zuri sana na nnawapongeza sana chadema ila wasiwasi wangu ni je wataweza kukiendesha kweli chma bila ruzuku kweli?????????!!!!!!!!!!!!
automatically Tendwa atakua hana kazi tena ya kujifanya auditor wa vyama!
Hapo safi sana mnajitofautisha na CCM ambao wanaombaomba hadi kwa David Cameron na kupewa masharti magumu kinyume na maumbile yetu. Good start mkichukua nchi mtaifanya ijitegemee fasta kwa kutumia rasilimali zetu
Dovutwa ataishije?
Hatutaki hiyo ruzuku ya kitumwa...
Changia chama kupitia namba hizi
1. M-Pesa (0757755333 na 0763744334)
2.Tigo Pesa (0655783333) and
3.Airtel Money (0684425222)
Namba hizi kazisoma Mh. Mbowe mwenyewe hapa Leganga.
Dovutwa ataishije?
Hatutaki hiyo ruzuku ya kitumwa...
Changia chama kupitia namba hizi
1. M-Pesa (0757755333 na 0763744334)
2.Tigo Pesa (0655783333) and
3.Airtel Money (0684425222)
Namba hizi kazisoma Mh. Mbowe mwenyewe hapa Leganga.
Inaelekea kuna watu hawajaielewa hii taarifa hii kabisa
Mbowe hajasema hawataki ruzuku, HAPANA
Alichosema Mbowe ni kwamba CDM haita tumia fedha ya ruzuku kugharamia uchaguzi
Hii ikiwa na maana ruzuku itatumika kwa kulipana posho za vikao,safari,mafuta na shughuli za kiofisi tu lakini si kuzitumia kwenye uchaguzi
Information kama hii inatakiwa itolewe na Verified user kama vile Mnyika ama Dr. Slaa na siyo mtu awaye yote kwani mwishowe tunaweza kuishia kutumbukiza pesa mifukoni mwa wajanja wachache!