Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,266
Nampongea kiongozi wangu,Imesikika very clear,
ni lazima tukate minyororo ya shingo ili kuondoka na huu utumwa wa CCM na Serikali yake.
Last Lady hii maneno uliyotoa kipindi hicho ni kweli kipindi hichi mkuu wa Taasisi hakuwa anachukua Ruzuku? au ilikuwa danga toto ili pesa ziingie kwenye mi miradi mingine