Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Ni kweli muvi inaendelea nawe unafurahi. Lakini Sterring mwishowe hafi hata kama kajeruhiwa.


Sent from my iPad using JamiiForums

Nani kakwambia sterring hafi?mapicha ya kihindi stering anakufa mwanzo tu tena ktk maua huku akiimba song,
 
mkuu ulisoma barua ya jaji

Hakuna mahali kwenye kazi za party registral kuna kipengele cha kuwasimamia watu kwenye chaguzi zao za ndani!Kinachotakiwa ni kumpa taarifa tu kama kuna marekebisho ya sheria na yy lzm atii bila shuruti!

Sasa huyu aliyemuwekea Mbowe pingamizi hilo pingamizi analipeleka wapi?Anawapotezea muda tu CHADEMA huyu hayawani

(Sijafurahia jinsi CHADEMA wanavyo mnadi Mbowe kama ndiye mteule wa nafasi hii,wangetoa nafasi sawa kwa wagombea wote)
 
Mnatusaidia kumtangaza na kumpaisha kamanda wetu,itatubidi tuwalipe kwa fadhila mnayotufanyia
 
Hakuna mahali kwenye kazi za party registral kuna kipengele cha kuwasimamia watu kwenye chaguzi zao za ndani!Kinachotakiwa ni kumpa taarifa tu kama kuna marekebisho ya sheria na yy lzm atii bila shuruti!

Sasa huyu aliyemuwekea Mbowe pingamizi hilo pingamizi analipeleka wapi?Anawapotezea muda tu CHADEMA huyu hayawani

(Sijafurahia jinsi CHADEMA wanavyo mnadi Mbowe kama ndiye mteule wa nafasi hii,wangetoa nafasi sawa kwa wagombea wote)
Anaitwa Cancer!! lakini anapromote afya ya Mbowe kwenye ushindi!!
 
Aliyemwekea pingamizi ni Kansa Mabrouk!!!! Shame!!! Kikaragosi hiki kimeshindwa kabla hakijashindana!!!!
 
Ametumia kanuni ipi ? Mbona CCM mmepoteza uwezo wa kufikiri kiasi hicho? Huyu jamaa yenu ni bomu .......a nawakaribisha wapiga kura halafu anaenda kuwaomba kura ......Kansa kweli ni hatari....
 
watu ving'ang'anizi wa madaraka
hata watu wa ccm ni ving'ang'anizi wa madaraka. wako tayari kuua kuliko kuachia madaraka na kama hamuamini subirini.. uchaguzi huooo waja tuashuhudia kwa macho na masikio yetu.
 
Hakuna mahali kwenye kazi za party registral kuna kipengele cha kuwasimamia watu kwenye chaguzi zao za ndani!Kinachotakiwa ni kumpa taarifa tu kama kuna marekebisho ya sheria na yy lzm atii bila shuruti!

Sasa huyu aliyemuwekea Mbowe pingamizi hilo pingamizi analipeleka wapi?Anawapotezea muda tu CHADEMA huyu hayawani

(Sijafurahia jinsi CHADEMA wanavyo mnadi Mbowe kama ndiye mteule wa nafasi hii,wangetoa nafasi sawa kwa wagombea wote)

Wanachama wa Chadema tunamtaka Mbowe awe mwenyekiti wetu, tuko tayari kusubiri hadi haki hiyo tutakapoipata we dont care when, kwasasa tunao viongozi wa Misingi, Tawi, Kata, Majimbo/Wilaya, Mikoa na Kanda, tunaweza kuendesha Chama bila shida yoyote, na wanaopendelea kutuzuia tusifanye uchaguzi wetu ndivyo mnavyowafanya Mbowe na Dr. Slaa kuendelea kuwa madarakani na hiki ndo hasa tunchaokita wanachadema. Viva Chadema.
 
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA mh Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi kugombea nafasi ya uenyekiti Taifa kutokana na madai kuwa, amekiuka katiba ya chama hicho pamoja na maagizo ya msajili wa vyama nchini.

Source: Mtanzania
hilo pingamizi anamuwekea nani? maana sijasikia mbowe ametangaza kugombea cheo chochote.
 
Nani kakwambia sterring hafi?mapicha ya kihindi stering anakufa mwanzo tu tena ktk maua huku akiimba song,

kwahiyo hii ni sinema ya kihindi etieee?? MTASUBIRIA SANA. STERRING HAUWAWI
 
wanajisumbua bure, watulie tu waangalie mbinu zingine za kupambana na cdm.
 
Back
Top Bottom