AshughulikiweUsishangae yakamkuta ya Lema
Huku ni kukwepa majukumu, ukiigawa hii nchi kimajimbo, (kaskazini, kusini, nyanda za juu, ziwa kuu, na mashariki) utakuwa una wanyima watanzania umoja wao walio ujenga kwa miaka mingi. Hii inaweza kufanya upande mmoja wa nchi usiwe na ulazima wa kusaidia upande mwingine. Korosho ya Mtwara, haita nunuwa madawati ya kigoma. Dhahabu ya Mwanza haita nunuwa chanjo ya watoto wa Tanga. Hii inaweza kwenda mpaka kwenye kazi, wa nyanda za juu anaweza kupata mtiani wa kutafuta kazi kanda ya mashariki kutokana na wamashariki wanasema hizi ni kazi zetu rudi ulikotoka. Mifano ipo mingi duniani walio jaribu sera kama hizi, hayakuisha vizuri. Nchi yetu bado haija jitosheleza kwa kila kanda kujitegemea, tusiige mambo kutoka nchi zilizo funguka kiuchumi kwa miaka mingi, tutakuwa tunafanya kinyume cha maendeleo na mshikamano uliokuwepo Tanzania.
Walikua wanataka kubomoa ngome za cuf kuiba wafuasi lakini wamechelewa.Lipumba yupo sahihi kabisa anaposema chadema wanauchochea mgogoro wa cuf ili wajinufaisheKusini wanauza korosho kilo 4000 ,
Alafu nyie chama la kutetea mafisadi chadema mnapeleka porojo zenu za kitoto kabisa.
Kusini wanauza korosho kilo 4000 ,
Alafu nyie chama la kutetea mafisadi chadema mnapeleka porojo zenu za kitoto kabisa.
Duh, huu uzi nilichangia siku nyingi kidogo kusema sio mimi nileandika, Duh utu uzima.Unapenda umoja hata mimi napenda umoja lakini penye ukweli lazima tuseme.Hivi kwenda kujenga uwanja wa ndege CHATO badala ya Lindi na Mtwara unategemea umoja utabaki salama ?.Mwl Nyerere ajenga umoja na kuenzi umoja hakuthubutu kujenga uwanja wa ndege Butiama.