Du sawa km hajawahi kuchukua fomu kupitia Chama chake kwa kuomba ateuliwe kugombea Urais na akakwama NEC basi nimekosea ila ataomba sasa kupitia Chama alichopo haogopi k2
mbona unarudia rudia makosa .... sasa ubongo wako umechakachuka ... National Electoral Commission (NEC) haihusiki na uchaguzi wa ndani wa chama chochote ..... sijui una maana gani ..... au hujui kujieleza kwa maelezo yanayojitosheleza .... unacharuka kupost haraka haraka