Mbowe atangaza operesheni ''Kata Funua''

Mbowe atangaza operesheni ''Kata Funua''

Hizi operations za hawa jamaa sijui zinasaidia nini ..nawasapoti upinzani ila sio kwa hili la operations zao
Wataishia kupigwa mkwara na operation kata funua ikageuka miguu tanua kwa upole wanaitikia ndio baba
 
Hivi hii operesheni lengo lake ni kutoa taarifa za uzushi mitandaoni?
 
Kama kawaida yenu magamba, mshaanza kuitangaza operation ya CHADEMA
Tunasubiri na wale Faru wenu waanze kukimbizana na lami.
Bila shaka mtaitangaza vema kama ile ya UKUTA.
 
Tshirts na kofia za kusupport op KATA FUNUA zinapatikana kwangu . Njoo PM bei ni elfu 10 tshirt na elfu 10 kofia [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Kama kawaida yenu magamba, mshaanza kuitangaza operation ya CHADEMA
Tunasubiri na wale Faru wenu waanze kukimbizana na lami.
Bila shaka mtaitangaza vema kama ile ya UKUTA.
kweli ninyi wafuasi wa kijani na CDM (wazee wa kuwageuzi wezi kuwa malaika) mna matatizo sana. Yaani akili zenu zimechotwa na hawa matapeli wa kisiasa mpaka mmeazimisha akili. Huyu Mbowe ni mtaalam sana na ataiongoza CDM mpaka aache mwenyewe kama mzee Mugabe, jamaa angefika angalau chuo kikuu sijui angekuwaje maana anapowabana watu wenye elimu kuliko yeye na ubunifu wake wa ujasirimali kageuza chama kuwa mali yake. Akiota usiku kitu cha kuingiza pesa kupita chamani anaanzisha operation.
 
hana lolote huyo, kata funua ndio nini sasa, mzee mzima analeta mambo ya kihuni bana
 
kweli ninyi wafuasi wa kijani na CDM (wazee wa kuwageuzi wezi kuwa malaika) mna matatizo sana. Yaani akili zenu zimechotwa na hawa matapeli wa kisiasa mpaka mmeazimisha akili. Huyu Mbowe ni mtaalam sana na ataiongoza CDM mpaka aache mwenyewe kama mzee Mugabe, jamaa angefika angalau chuo kikuu sijui angekuwaje maana anapowabana watu wenye elimu kuliko yeye na ubunifu wake wa ujasirimali kageuza chama kuwa mali yake. Akiota usiku kitu cha kuingiza pesa kupita chamani anaanzisha operation.
Hazikutoshi! kama utakuwa nazo basi ni kidunchu.Post yako yaiendani na ulicho-quote.
 
1480424426204.jpg
Tunakumiss sana rais mstaafu JK
 
Hazikutoshi! kama utakuwa nazo basi ni kidunchu.Post yako yaiendani na ulicho-quote.
Ukipenda chingu naliita kengeza huu msemo unakuhusu sana wewe. Endelea na kutumiwa kama mwehu. Na hapa sikusemi wewe tu nawasema mpaka hao unaowaita kijani nao ni wanywa viroba kama ninyi wa CDM.
 
..mkiona POLISI wanaingilia mjue operation inafanikiwa.

..mkiona POLISI wameuchuna basi hiyo operation itakuwa imefeli.

Cc MTAZAMO, MsemajiUkweli, Mwanahabari Huru
Mkuu JokaKuu
Hoja yako ina ukweli ndani yake lakini kumbuka pia Polisi wetu hawana jambo dogo au kubwa kwa maana kwamba wanaweza wasijitokeze kwanye suala ambalo kimantiki ni kubwa sana kiulinzi au wajitokeze wengi kwa suala ambalo kimantiki ni dogo sana kiulinzi au wasijitokeze kabisa.

Nadhani kipimo cha wingi au uchache wa polisi kwenye tukio kina mapungufu makubwa katika polisi wetu.
 
Iendelee kujipanga hivyo kitaasisi ili mikutano ya hadhara itakapoanza irudi na kwa wananchi kuwaonesha njia ya kuondoa umaskini wa kiuchumi,kifikra na kiutamaduni
 
Operation hii hata bosi wenu kule aliko anachungulia dirishani kuwapigia simu wakuu wa mikoa na wilaya wahakikishe hakuna mikutano ya siasa!!

Hii yote niuga kwa sababu anajua mziki wa upinzani kwa sasa!! CCM kwa sasa imebakiza jina na vijana wachache nao wapo kimaslahi!!

Tena kama mnajielewa mwambieni akae mguu sawa operation hii ikifanyika mtukufu ajue watanzania wapo mguu sawa kupokea nondo kutoka upinzani, yy aneng'eneke tu kama angejua imani ya watanzania kwa upinzani kwa sasa haipimiki angejiandaa kuachia tu Ikulu kwa amani baada ya miaka 4........
 
Kwahio Chama Kimekaa kikaamua kuita operesheni ya whatever it is KATA FUNUA?!!! Wamekosa jina lolote lenye hata hekima kidogo. Mimi najua kata funua ni kitu cha vurugu,kwenye michezo au mitaani, yaani ubabe ubabe! Anyway wasija WAKAKATWA NA KUFUNULIWA WAO tu!
Neno moja kila mtu anaweza kulitafsiri kwa jinsi utashi wake unavyomtuma
na wengine wanadefine jinsi wanavyotaka wao kwahiyo sio mbaya kama wewe umependa utafsiri kwa namna hiyo
 
Back
Top Bottom