Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

shida kila mtu mchambuz wa siasa badala ya kumchambulia mkeo unakuja na hoja hafifu majina yalipendekezwa hakuwepo upendekez la kwako!!!
Hata angechaguliwa nan msingekosa la kusema!!!!!
hii inaonyesha utakuwa unaingilia vyumban mwa watu by the way wewe sio cdm unawashwa na nn?
 
Watasema sana, nachojua kila binadamu ni unique hivyo kila mtu ana mawazo yake. Dunia isingependeza kama tungefanana kwa mawazo. Mbowe songa mbele, CHADEMA SONGA MBELE, wanachadema songeni mbele hadi ukombozi wa kweli. IT CAN BE DONE!MPLAY YOUR PART?
 
shida kila mtu mchambuz wa siasa badala ya kumchambulia mkeo unakuja na hoja hafifu majina yalipendekezwa hakuwepo upendekez la kwako!!!
Hata angechaguliwa nan msingekosa la kusema!!!!!
hii inaonyesha utakuwa unaingilia vyumban mwa watu by the way wewe sio cdm unawashwa na nn?
Mkuu siasa ni maisha...ruzuku wanayopewa chadema ni kodi yangu...kama tunavyokosoa CCM na serikali yake lazima tutowe angalizo.
 
Watasema sana, nachojua kila binadamu ni unique hivyo kila mtu ana mawazo yake. Dunia isingependeza kama tungefanana kwa mawazo. Mbowe songa mbele, CHADEMA SONGA MBELE, wanachadema songeni mbele hadi ukombozi wa kweli. IT CAN BE DONE!MPLAY YOUR PART?
Tukubali kukosolewa,ukweli haupendi kupuuzwa.
 
Majibu uliyoyapata yana uwalakini.Jihadhari utapata FIBA isiyo sahihi.
Mwaka 2011 ujio wa EL ulizungumzwa ikaonekana uzushi,2013 Asha Dii aliitadharisha Chadema na makapi ya CCM akatukanwa,Mwaka 2015 july,Lizabon aliripoti "dealdone" kati ya Mbowe,EL,Mtei aliambulia matusi...sasa endeleeni..ila mjue "ajizi nyumba ya njaa".
 
Chakaza "binadamu wanaangamia kwa kukosa maarifa"...jikite kwenye mada.
Hata kanisani vicheko na vionjo vipo. Vitabu vya dini vingekuwa vinafanyiwa editing hiyo sehemu uliyoquote ingebadilishwa na kuwa
"Binadamu wanaangamia kwa kuchagua CCM"
 
Hata kanisani vicheko na vionjo vipo. Vitabu vya dini vingekuwa vinafanyiwa editing hiyo sehemu uliyoquote ingebadilishwa na kuwa
"Binadamu wanaangamia kwa kuchagua CCM"
Jikite kwenye hoja kwa manufaa ya taifa.
 
Maskini wa lumumba, wanateseka kweli na hii kitu. Walijiandaa sana kushambulia ukanda, sasa huu uteuzi umewavurugaa kabisa. Wanajaza mipost humu miiiiingi hata hawajui wasimamie lipi.
 
CCM is at disarray they are fragmented. What used to bind them together were the resources where everyone within the ruling party could tap at one's own momentum. The resources available now at their disposal are completely scarce. The new generation of young men and women are also dynamic and have their own informed decision on which party they have to support. In addition a fact that cannot be denied by any person is that people are pro Magufuli and not CCM.

Time is the best teacher, with time things will be clear.
 
Maskini wa lumumba, wanateseka kweli na hii kitu. Walijiandaa sana kushambulia ukanda, sasa huu uteuzi umewavurugaa kabisa. Wanajaza mipost humu miiiiingi hata hawajui wasimamie lipi.
Kijana jikite kwenye hoja ili tulisaidie taifa.
 
Back
Top Bottom