Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

unawachokoza watakuja na ujinga wao sahizi bado wanamalizia bia na kitimoto

Naona madrasa inatapika. Mwenzio kasema watu waende "makanisani na misikitini" wewe umeshakimbilia "bia na kitimoto". Chuki za dini za watu wengine hazitaboresha maisha yako. Ua mbegu ya udini ndani yako, nchi hii ni yetu sote.
 
We acha tu hii ni misukule iliyokuwa imefungia na ccm miaka 54 sasa ipo huru wacha imuingize ikulu we tafuta jembe uje tuanze kilimo mashetani yamefungulia misukule yao sasa
 
Huu tunaita uunuwk (ufikiri usio na uwezo wa kufikiri). Yaani hii ni hoja uliyoona inaweza kushawishi mtu kufuata kile unachokiamini?
 
watanzania nendeni makanisani misikitini muombewe upate upeo wa kutambua hili linafaa hili halifai lowasa kishanunua chama chadema chake yeye na familia yake nyinyi mliokosa upeo wa kufikiri hamsikii ni bora kutokishabikia.
Lile songi za mzee yusufu la msumali linawahusu ccm,Lowassa ni msumali kwa ccm na umewachoma kotekote.
 
Lowassa analindwa na MAZOMBI aliyo kwisha yaandaa sikunyingi ZUZU MBOWE, hivyo amefika na kuyapeleka watakavyo hahaha
 
Haya ndio matokeo ya madrasa. Uwezo mdogo wa kufikiri.

acha usenge na hamshindi uchaguzi mpaka tuamue! Kanisa haljawahi kushiriki ktk ukombozi wa taifa hl et sasa hv ndo mmejazwa misemina na vijikaratasi eti mnataka mabadiliko! Mnatuchezea hamtujui we know everything
 
watanzania nendeni makanisani misikitini muombewe upate upeo wa kutambua hili linafaa hili halifai lowasa kishanunua chama chadema chake yeye na familia yake nyinyi mliokosa upeo wa kufikiri hamsikii ni bora kutokishabikia.
Utakapolizoea hili jukwaa utaacha kuandika usenge
 
watanzania nendeni makanisani misikitini muombewe upate upeo wa kutambua hili linafaa hili halifai lowasa kishanunua chama chadema chake yeye na familia yake nyinyi mliokosa upeo wa kufikiri hamsikii ni bora kutokishabikia.
Kufikiri tu kuwa Chadema kimenunuliwa ni kukosa upeo wa kufikiri!
 
Usimshangae Mbowe
Usimshangae Lowassa

Washangae mashabiki wanaosimama vifua mbele kumshabikia
1. Aliyelelewa CCM
2. Asiyekijua chama cha Demokrasia Na Maendeleo Chadema
3. Asiyeijua ilani ya chama
4. Aliyeingia nakuwatoa waanzilishi wa chama
5. Mtu mwenye nia tofauti na chama

Halafu wakidanganyana wanataka mabadiliko, kweli mashabiki ni wakushangaa sana, wamefungwa macho na fikra, hawaelewi walitendalo.
Yuleyule mlimsema jana kuwa ni bora kutokumuua mwizi wa simu na kumpiga yeye sababu ni fisadi.
Yule yule mliyemsema ni mwizi wa Richmond hafai sio muadilifu, leo mmetulia kimya hamtaki hata kuyazungumza.
Nini kimewasibu mashabiki wa UKAWA...???
KWA UWEZO WA MUNGU MAOVU HAYA HAYATAPITA KAMWE
CHAGUA CCM CHAGUA MAGUFULI MTU WA WATU MABADILIKO YA KWELI
 
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania Daima, Mwananchi
Majina kama ndumilakuwili na wanafki wakubwa yanawafaa sana UKAWA. Nakumbuka kauli moja ya Mbowe alipokuwa anamkashifu Lowassa alisema "Lowassa aingie ikulu; over my dead body". Lakini wala hajafa leo ni mzima tena bukheri wa afya na bado anamsupport mtu huyohuyo. Sasa kama sio unafki uliokubuhu huo ni nini.
 
CHADEMA mlisema Zito ni msaliti kwakuwa anawasiliana na viongozi wa CCM akiwa CHADEMA

Swali ni je Mbowe tumuiteje?

Kwani yeye si tu kawasiliana na viongozi wa CCM na kuongea nao la hasha, kawapa nafasi za kugombea urais na ubunge na udiwani ndani ya CHADEMA ikiwemo kuwateuwa katika nafasi za ubunge viti maalum kama vile hakuna wananchama wa CHADEMA wenye uwezo huo.

Sasa Mbowe tumuiteje? Msaliti, mzandiki, mfitini, mnafiki, mchawi?
 
Chadema mlisema zito ni msaliti kwakuwa anawasiliana na viongozi wa ccm akiwa chadema.

Swali ni je mbowe tumuiteje?

Kwani yeye si tu kawasiliana na viongozi wa ccm na kuongea nao la hasha, kawapa nafasi za kugombea urais na ubunge na udiwani ndani ya chadema ikiwemo kuwateuwa katika nafasi za ubnge viti maalum kama vile hakuna wananchama wa chadema wenye uwezo huo.

Sasa mbowe tumuiteje? Msaliti, mzandiki, mfitini, mnafiki, mchawi?

na tapeli
 
Back
Top Bottom