Wakati mwingne tuwe wakweli hizo 10 bilion ukiambiwa uto ushahidi utaweza au umeamua kuchafua hali ya hewa kwa faida ya chama chako.
Kwani nyie mlitoa ushahidi wakati Lowassa akiwa Ccm mlipokuwa mkimtuhumu anatumia mabilioni kusaka urais? Fankuuuro
Wakati mwingne tuwe wakweli hizo 10 bilion ukiambiwa uto ushahidi utaweza au umeamua kuchafua hali ya hewa kwa faida ya chama chako.
Wakati mwingne tuwe wakweli hizo 10 bilion ukiambiwa uto ushahidi utaweza au umeamua kuchafua hali ya hewa kwa faida ya chama chako.
Lowasa anatumia fedha za kifisadi alizotuibia wananchi. Ndo maana hazionei huruma
Aisee bado watanzania tununuliwe sasa. Lowassa katumia bil.10 kumnunua MBOWE kuingia CHADEMA, sasa kuna taarifa kuwa DUNI HAJI amenunuliwa kwa mil.550 ili akubali kujiunga na CHADEMA ili ateuliwe kuwa mgombea mwenza wa LOWASSA. Hiyo haitoshi inasemeka mgogoro unaoendelea kule CUF unatokana na CHADEMA kumnunua Maalim Seif Sharif Hamad kwa ahadi ya kugaramia Kampeni za Uchaguzi kule Zanzibar, pesa zitakazotolewa na LOWASSA ili kukubali mgombea mwenza atoke CUF.
Yaani propaganda nyingine za magamba ni shidaaaaah..........................Wakati mwingne tuwe wakweli hizo 10 bilion ukiambiwa uto ushahidi utaweza au umeamua kuchafua hali ya hewa kwa faida ya chama chako.
mtaweweka sana,lazima mg'oke hata kwa bull dozerAisee bado watanzania tununuliwe sasa. Lowassa katumia bil.10 kumnunua MBOWE kuingia CHADEMA, sasa kuna taarifa kuwa DUNI HAJI amenunuliwa kwa mil.550 ili akubali kujiunga na CHADEMA ili ateuliwe kuwa mgombea mwenza wa LOWASSA. Hiyo haitoshi inasemeka mgogoro unaoendelea kule CUF unatokana na CHADEMA kumnunua Maalim Seif Sharif Hamad kwa ahadi ya kugaramia Kampeni za Uchaguzi kule Zanzibar, pesa zitakazotolewa na LOWASSA ili kukubali mgombea mwenza atoke CUF.
Aisee bado watanzania tununuliwe sasa. Lowassa katumia bil.10 kumnunua MBOWE kuingia CHADEMA, sasa kuna taarifa kuwa DUNI HAJI amenunuliwa kwa mil.550 ili akubali kujiunga na CHADEMA ili ateuliwe kuwa mgombea mwenza wa LOWASSA. Hiyo haitoshi inasemeka mgogoro unaoendelea kule CUF unatokana na CHADEMA kumnunua Maalim Seif Sharif Hamad kwa ahadi ya kugaramia Kampeni za Uchaguzi kule Zanzibar, pesa zitakazotolewa na LOWASSA ili kukubali mgombea mwenza atoke CUF.
Aisee bado watanzania tununuliwe sasa. Lowassa katumia bil.10 kumnunua MBOWE kuingia CHADEMA, sasa kuna taarifa kuwa DUNI HAJI amenunuliwa kwa mil.550 ili akubali kujiunga na CHADEMA ili ateuliwe kuwa mgombea mwenza wa LOWASSA. Hiyo haitoshi inasemeka mgogoro unaoendelea kule CUF unatokana na CHADEMA kumnunua Maalim Seif Sharif Hamad kwa ahadi ya kugaramia Kampeni za Uchaguzi kule Zanzibar, pesa zitakazotolewa na LOWASSA ili kukubali mgombea mwenza atoke CUF.
we kiazi kama unamtamani edo nenda kaolewe nae pumbavu
Lowasa anatumia fedha za kifisadi alizotuibia wananchi. Ndo maana hazionei huruma
Aisee bado watanzania tununuliwe sasa. Lowassa katumia bil.10 kumnunua MBOWE kuingia CHADEMA, sasa kuna taarifa kuwa DUNI HAJI amenunuliwa kwa mil.550 ili akubali kujiunga na CHADEMA ili ateuliwe kuwa mgombea mwenza wa LOWASSA. Hiyo haitoshi inasemeka mgogoro unaoendelea kule CUF unatokana na CHADEMA kumnunua Maalim Seif Sharif Hamad kwa ahadi ya kugaramia Kampeni za Uchaguzi kule Zanzibar, pesa zitakazotolewa na LOWASSA ili kukubali mgombea mwenza atoke CUF.
hamna rangi mtaacha ona safari hii mtakuja na kila aina ya propaganda,mmejisahau kila mwaka mnakuja na mbinu ileile kutoka kwa watu walewale maccm mkidhani kuwa ni watz ni walewale wajinga,Aisee bado watanzania tununuliwe sasa. Lowassa katumia bil.10 kumnunua MBOWE kuingia CHADEMA, sasa kuna taarifa kuwa DUNI HAJI amenunuliwa kwa mil.550 ili akubali kujiunga na CHADEMA ili ateuliwe kuwa mgombea mwenza wa LOWASSA. Hiyo haitoshi inasemeka mgogoro unaoendelea kule CUF unatokana na CHADEMA kumnunua Maalim Seif Sharif Hamad kwa ahadi ya kugaramia Kampeni za Uchaguzi kule Zanzibar, pesa zitakazotolewa na LOWASSA ili kukubali mgombea mwenza atoke CUF.
Sidhani hata kama unajua bilioni kumi ina sifuri ngapi...ebu tuandikie bilioni kumi kwa tarakimu...