Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Inasikitisha sana pale mtu unapoamua kutoa taarifa za uongo na zilizojaa chuki bila kuwa na uhakika wa unachokiwasilisha kwa umma.PCCB wanafanya kazi 24 hrs kwa hiyo km unao ushahidi juu ya MBOWE na group lake kupewa hela na Lowassa, ebu fanya jambo la kishujaa ambalo litasababisha history ikukumbuke kizazi na kizazi.

Mbowe kakiuza Chama na pesa kaweka kwenye akaunti yake. Kachukua kiasi kidogo kuwaziba midomo viherehere kama Lema 120 million, Msigwa 135 million, Lissu na Mwalimu 180 million @. Ushahidi upo ngoja kampeni zianze
 
Last edited by a moderator:
Km huyu jamaa wanaemwita DJ ambae IQ yake inatiliwa shaka kakiuza chama kwa EL, Akipewa nchi ataiuza pia. Tuweni makini na viongozi kama hawa.

Toa aibu hapa! Unaweweseka Sana, nenda kawafute wahuni wenzako waliokamatwa na takukuru huko ugambani kwa rushwa.
 
CCM bhana wanachekeshaga ila tunaamuaga kutocheka. Sasa ngoja tujipange kucheka wanapoamua kuchekesha.
 
Huko ugambani maumivu ni makali Sana! Ooh ameuza, ooh billion 10, mtalia sana mwaka huu, mmechanganyikiwa mmebaki kutoa rushwa kura za maoni na kutuangana bakora.
 
Tena kakiuza kwa bilioni 10 tu kwa fisadi Lowasa

...lakini, tuna ushahidi wa hili jambo la bilioni 10 au ni majungu tu ya siasa, sawia na yale ya "list of shame" ya orodha ya mafisadi papa ambayo leo yanawafanya watu wazima "na elimu zao", kubaki wanabwabwaja bwabwaja siasa za kubwabwaja bwabwaja tu....
 
Kiujazacho moyo wa mtu ndicho kimtokacho.mawazo yako siyashangai kwani kwenu ccm hakuna ushawishi bila kutumia nguvu ya pesa.sasa tafuta acid iondoe huo mgando kwenye ubongo.uwe na fikra mpya.Kamanda Mbowe sio myopic kama maccm.,na sio tegemezi wafedha dhalimu kama ufikirivyo.Lowasa kaingia kumaliza undumilakuwili wa ccm.
 
Km huyu jamaa wanaemwita DJ ambae IQ yake inatiliwa shaka kakiuza chama kwa EL, Akipewa nchi ataiuza pia. Tuweni makini na viongozi kama hawa.

Ndio dalili za kukata tamaa katika ushindani. Wanaishia kwenye defamation.
 
mbowe ana akili nying xan said ya unavyofkifia kwakuwa politics determine who has power not who has the truth that's y amejikita kuangalia jinc ya kuchukua state poŵer na nataka niwaekeze kwamba ujio wa lowasa chadema umetokwna na ushawish wa mbowe kwa lowasa ukitaka kujua hilo refer speech ya lowasa na mbowe siku ya kuchukua kad lowasa...mafufuli alipata njia rahc endapo silaha angegombea presidential position kwahyo lazma tutambue hilo wadau
 
Tena bei ya Mbowe rahisi kweli. Kawaaibisha hata Wachaga wenzake. Yaani ni heri Lyatonga kuliko Deejay. Lakini Nyerere alishatuonya
 
WATZ NAONA TUMEROGWA,ETI WANAFURAHIA KUUZWA,,MM SITAPIGA KURA TENA,NA KAMA NIKIENDA KUPIGA BORA NIWAPIGIE CCM,SIO CDM MATAPELI,wala mtoa post hujakosea wakishika dolla watatuuza,yaan billion 10 umekosa uaminifu na msimamo kwa watanzania.
 
Agenda ya magamba kwamba lowassa fisadi kiukweli haina mashiko alivyokuwa huko CCM mbona hamkusema na kama mna ushahidi kwa sababu alifisadi akiwa kwenu vyema takukuru wako wazi hata weekend nendeni.
 
Kuna watu huwa najiuliza hivi ata familia zao huwa wanaziendesha vipi kama uwezo wao wa kufikili ndo unakuwa umeishia kutoa mawazo ya kitoto kama haya
 
haa haa ccm wamechanganyikiwa sana mara baada ya lowasa kuingia upinzani...
 
Ukishinda mechi unachukua kombe mchezo umeisha. Ukishinda uchaguzi unaanza kazi muhimu ya kuongoza nchi.

Ni makosa makubwa kufananisha ushindi wa mechi na uchaguzi. We must think beyond uchaguzi.

Chadema ya leo inatetewa na mazombie wa Team lowassa ndio tatizo la msingi.

Striker aliyeshindwa kutikisa nyavu ndani ya ccm tena akiwa na njumu na kelele za washabiki ataweza huku kwenye mechi za kimataifa?
 
Hivi atauza kipi wakati ilishauzwa tayari.Anatafuta namna ya kuirejesha kwa wananchi.
 
Nyie mlianza kwa kuuza nyumba.epa.madini
kiwira coal mine kwa mkapa na yona.escrow.gas na katiba.
 
Km huyu jamaa wanaemwita DJ ambae IQ yake inatiliwa shaka kakiuza chama kwa EL, Akipewa nchi ataiuza pia. Tuweni makini na viongozi kama hawa.

Nakushauri ukapime na IQ yako kama wataka kuongelea za wengine.
 
Back
Top Bottom