Albert Francis
Member
- Sep 30, 2010
- 8
- 3
Mwanzoni nilidhani JF ni Real Home of Great Thinkers.....Kumbe kila mtu anaweza kukaa chini na kuandika anachojisikia akijitahidi kusambaza chuki za kufikirika na kuacha kufikiri kwa kina na kukitetea anachokipenda hata kama ni kibovu. Leo asubuhi pia nimemsikiliza somebody Bana nadhani ni prof huyu ila nae amemezwa huko huko.
Natarajia wasomi wawe msaada na kuchambua mada kwa hoja na utafiti ila vimebakia vioja na ushabiki
Pole Mama Tanzania, Pole JF
Natarajia wasomi wawe msaada na kuchambua mada kwa hoja na utafiti ila vimebakia vioja na ushabiki
Pole Mama Tanzania, Pole JF