Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

hatumbagui kwa rangi wala kabila ila hatumtaki kwa sababu ni mla rushwa na fisadi.
anasema deal lilikua na mkulu, tunasubiri mkulu na kina nape watumalizie hili saga, wakikaa kimya ccm huna sababu ya kuipigia kura ccm hata kidogo
 
Mhe.Mbowe Jiandae Kuwajibika Katika Hili Kwa Watanzania.

Mpasuko Unaoendelea Sasa Katika UKAWA Ni Matunda Ya Maamuzi Yako Mabovu Yaliyokosa Ridhaa Ya Pamoja Ya Viongozi Wenzako.Maamuzi Yako Yaliyokua Na Lengo La Kuwaburuza Viongozi Wenzio Kifikra Na Kimaamuzi.Na Maamuzi Yako Yaliyofishwa Na Tamaa Yako Ya Uroho Wa Madaraka Na Kukubali Kununuliwa.

Kitendo Cha Kumkaribisha Fisadi Papa No.1 Mhe.Lowassa Ndani Ya UKAWA Na Kupewa Nafasi Ya Kuteuliwa Kama Mgombea Uraisi Bila Ya Maridhiano Thabiti Kutoka Kwa Viongozi Wenzio.Kumekufanya Wewe Uwe Fisadi Papa No.11(Haukuwepo Kwenye Listi Ya Awali Ila Sasa Upo).Na Watanzania Wanatakiwa Kukuogopa Kama Ukoma.Kwa Kuweka Maslahi Yako Mbele Kuliko Maslahi Ya Taifa.

Kama Bado Unaamini Kua Kuondoka Kwa Dr.Slaa Na Prof.Lipumba Ndani Ya UKAWA Hakuna Madhara Yeyote kwa UKAWA.Basi Ukae Ukijua Kua Uko Ni Kujidanganya Na Kujilisha Upepo.

Malipo Ya Usaliti Huu Kwa Viongozi Wenzio
Yatakua Ni Kuanguka Kwako Mwezi October Na Kuporomoka Kwako Kisiasa.Na Ujiandae Kwa Aibu Kubwa
 
Mbowe tamaazako zitaishia octoba.Lipumba sungura alafu msomi ,1:kajua ukawa si chama cha siasa(hakitambuliki)2;Lowasa mgombea wa chadema.,kusapoti ukawa ni kukipromoti Chadema.,uku cuf inadoda.3Lowassa akishinda uraisi imeshinda chadema.Mawaziri watapangwa na chadema hakuna hati ya muungano wa kuunganisha vyama kwa msajili wa vyama.Lolote litakalo amuliwa na chadema ndio sahihi,chademandio chama kitakacho endesha serikali.Lipumba kweli Sungura.
 
Umechokoza nyuki, taja wengine ila usiguse mwenyekiti kabisa

Pambaf Zenu!.Hakuna Upinzani Tanzania Hii.Mbowe Na Lowassa Ni Wahuni Tu.Pesa Wanazotumia Kuongana Wangezitumia Kuendesha Vimiradi Vyao.Lakini Zasizitumie Kuwadanganyia Watanzania Tuwaamini Tuwape Nchi.Wafikishie Ujumbe Kua Watanzania Sio Mamburulaz.Na Tumeshawashtukia Mapema.Wape Salamu Kua Waendelee Hivo Hivo Kuuota Uraisi Na Uwaziri Mkuu Wa Nchi Hii.

Bravo Komredi Slaa Na Mwanaharakati Prof.Lipumba Kwa Kutokukubali Kushiriki Uchafu Wa Hao Mafisadi.Hamkuweka Uroho Wa Madaraka Mbele Ila Mmetanguliza Uzalendo Kwanza Na Maslahi Ya Taifa.
Bravo! Bravo! Bravo! Aluta Kontinua!
 
Nililiona hili pale alipotoka ZZK...watu wakafichwa wasijue katoka kwa nn na kesi juu...anaepinga muulize ZZK alishtakiwa kwa nn kama atakupa jibu humu...ukweli alihoji matumizi mabaya ya pesa kivipi watu waseme wanaenda kustawisha chama uingereza ingali wanakula raha Dubai...wakamtimua na kesi juu...sasa leo kakiuza chama kabisa na nyie mnaopiga kelele endeleeni tuu mtaona ukweli wa haya maneno baadae...amkeni Watz wenzenu wanapiga fedha nyie kelele na mapovu yanawatoka na umaskini wenu...Prof ana akili ndio maana kawa Prof....
 
At least wewe umesema ninayoyafikiria.
Mbowe kauza Chama, hafai kabisa huyu jamaa.

Amekidhalilisha Chama Na UKAWA.Kwa Falsafa Yake Mbovu Ya Kutegemea Makapi Ya CCM Yamsaidie Kumpeleka Ikulu.
Mbowe Anamjua Sana Lowassa Kama Ni Kiongozi Bora Kuliko CCM Iliyomlea Kwa Zaidi Ya Miaka40.

Hawaeleze Watanzania Kua Amekubali Kununuliwa Kwa Gharama Ipi Na Nani Atailipa.Pesa Ya Mafisadi Walioitumia Kuwekeza Kwake Uwa Haipotei Bure.
 
Nililiona hili pale alipotoka ZZK...watu wakafichwa wasijue katoka kwa nn na kesi juu...anaepinga muulize ZZK alishtakiwa kwa nn kama atakupa jibu humu...ukweli alihoji matumizi mabaya ya pesa kivipi watu waseme wanaenda kustawisha chama uingereza ingali wanakula raha Dubai...wakamtimua na kesi juu...sasa leo kakiuza chama kabisa na nyie mnaopiga kelele endeleeni tuu mtaona ukweli wa haya maneno baadae...amkeni Watz wenzenu wanapiga fedha nyie kelele na mapovu yanawatoka na umaskini wenu...Prof ana akili ndio maana kawa Prof....

kikubwa ni kuitoa CCM madarakani, hayo mengine hayatuhusu!
 
kikubwa ni kuitoa CCM madarakani, hayo mengine hayatuhusu!

Wewe ndio unasema ila bibi yako kule kijijini hajui hayo mambo tena bado anajua kikwete anachaguliwa tena...na wewe kwa sababu ya iyo android yako bila hivyo pia ungekua CCM kama unabisha mpigie simu bibi muulize kula unampa nani uje useme hapa peupe...hamna wa kuitoa CCM kwa kuunga unga huku hata mie siwapi kura yangu hao wa kuunga unga...
 
Sio Kosa Lako.Hilo Jina Lako La Kiwelu Inaonesha Ni Mtu Wa Aina Gani.Unatetea Hao Mafisadi Kwa Maslahi Yapi.Na Ndio Mnaotusumbua Mjini Hapa.

Ila Mkae Mkijua Kua Kuingia Kwenye Uchaguzi Mkuu Mwezi Octoba Bila Ya Dr.Slaa Na Prof.Lipumba.Ni Sawa Na Kumleta Mbuzi Wako Mnadani Hasie Na Miguu Wala Kichwa.Hauziki!
* Kama UKAWA wanaingia kwenye uchaguzi bila Lipumba na Slaa wewe kinachokuuma ni nini hasa? Kinachokukera ni namna Mbowe alivyounganisha UKAWA bila ya hao wawili? Au kinachokuudhi ni jinsi wana UKAWA walivyo na umoja katika kutaka mabadiliko hata bila kuwepo viongozi wote wa mwanzo? Ulitaka UKAWA isambaratike?
 
* Wewe kiumbe haya mambo ya siasa huyajui, wewe unachojua ni mambo ya akina Ali Kiba na Wema Sepetu, tuliza kopo hilo hujui chochote zaidi ya kuropoka kama kasuku...

* Huna akili, unamuita mtu fisadi bila ushahidi wowote zaidi ya kubwatuka tu, kama Mbowe anakupa hangover, njoo na hoja, sio unaleta mihemko yako hapa JF ili na wewe uonekane umeanzisha thread..

* There is no substance in your statements, pie in the sky...
Kama Mpaka Leo Bado Hujui Kama Mbowe Kanunuliwa.Basi Lazima Wewe Utakua Ni Mpumbavu Wa Mwisho.
Na Hata Huyo Lowassa Kama Yeye Sio Fisadi Na Hakuusika Na Kashfa Ya Richmond Kwanini Alikubali Kujiuzulu?.Na Vp Km Angeteuliwa Kua Mgombea Wa Uraisi Wa CCM Angeyazungumza Yale Aliyoyazungumza.
Lowassa Ni An "Opportunistic Politician" Na Yuko Kimaslahi Yake Binafsi.Na Vilaza Kama Ww Ndo Mnaomshabikia.Lakini Binadamu Mwenye Akili Timamu Hawezi Kumsupport Lowassa.
 
* Kama UKAWA wanaingia kwenye uchaguzi bila Lipumba na Slaa wewe kinachokuuma ni nini hasa? Kinachokukera ni namna Mbowe alivyounganisha UKAWA bila ya hao wawili? Au kinachokuudhi ni jinsi wana UKAWA walivyo na umoja katika kutaka mabadiliko hata bila kuwepo viongozi wote wa mwanzo? Ulitaka UKAWA isambaratike?

Kuondoka Kwa Viongozi Waandamizi Wa UKAWA Ni Kasoro Na Pigo Kubwa.Na Ni Ishara Kua UKAWA Haiaminiki Tena.Na Ni Dalili Ya Wazi Kua UKAWA Inakwenda Kuanguka Vibaya Mwezi Octoba.Endelea Kujipa Matumaini Mvuke!
 
Kama Mpaka Leo Bado Hujui Kama Mbowe Kanunuliwa.Basi Lazima Wewe Utakua Ni Mpumbavu Wa Mwisho.
Na Hata Huyo Lowassa Kama Yeye Sio Fisadi Na Hakuusika Na Kashfa Ya Richmond Kwanini Alikubali Kujiuzulu?.Na Vp Km Angeteuliwa Kua Mgombea Wa Uraisi Wa CCM Angeyazungumza Yale Aliyoyazungumza.
Lowassa Ni An "Opportunistic Politician" Na Yuko Kimaslahi Yake Binafsi.Na Vilaza Kama Ww Ndo Mnaomshabikia.Lakini Binadamu Mwenye Akili Timamu Hawezi Kumsupport Lowassa.

* Kama huwezi kuleta ushahidi wowote unaoashiria kuwa kuna transaction i/zilifanyika kati ya Mbowe na Lowassa ili CDM inunuliwe, utaendelea kuwa kwenye kundi la waropokaji kama Nape...

* Kukubali kujiuzulu ni kitu kimoja na kuhusika ni kitu kingine, kama hujui historia Mwinyi (Rais wako wa awamu ya pili) alijiuzulu uwadhifa wa uwaziri wa mambo ya ndani katika serikali ya Nyerere (ambaye huwa ananukuliwa akisema Rais hapaswi hata kuwa hata na tuhuma) wakati waliohusika na kashfa walikuwa wa chini yake....Jacob Zuma alijiuzulu tarehe 14 june 2005 kwa tuhuma za ufisadi wa $ 5 billion kwenye manunuzi ya silaha akiwa makamu wa Rais wa Thabo Mbeki, na iligundulika hakuhusika...na yeye ndiye Rais wa SA...

* Umeshaambiwa maagizo ya kutositishwa kwa mkataba wa Richmond yalitoka mamlaka ya juu, kwanini usiende ukauliza maswali kwa mamlaka ya juu ili upate namna ya kuhukumu vizuri? au unaogopa?
 
Kuondoka Kwa Viongozi Waandamizi Wa UKAWA Ni Kasoro Na Pigo Kubwa.Na Ni Ishara Kua UKAWA Haiaminiki Tena.Na Ni Dalili Ya Wazi Kua UKAWA Inakwenda Kuanguka Vibaya Mwezi Octoba.Endelea Kujipa Matumaini Mvuke!
* Kama unahisi ni pigo, wewe CCM kwanini usifurahie? maana kama kuna mtikisiko CCM ndiyo itashinda vizuri, cha ajabu wewe CCM ndiye unayehangaika kuwaonea huruma UKAWA kuliko hata wana UKAWA wenyewe....

* 'Ishara ya kutoaminika' umetoa wapi? Umefanya utafiti gani kupata hitimisho lako? Sampe distribution yako ikoje? Margin of error ni ngapi? Umetumia mda gani kufanya utafiti huo?
 
Back
Top Bottom