Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Si mlikuwa mnawatangazia kuwa ni fisadi sasa mmemsafisha kwa sabuni gani ? Si mnaona mnavyotuchanganya Watanzania
 

Hivi Lowassa anahamia Chadema kwa vile anakubaliana na Sera na Ilani ya chama au ana sababu zingine? Chama ambacho ilani zake za uchaguzi wa 2005 na 2010 zinasema kwamba kikishika dola kitawachukulia hatua mafisadi wote walionewa haya na serikali ya CCM?

Pili, Anayeenda ikulu ni Ukawa au ni Chadema au ni Lowassa na genge lake wakina Karamagi na Rostam? Wakiingia Ikulu mtawezaje kuwadhibiti hawa wenye uwezo wa kuhonga mabilioni ya pesa bila kupepesa macho?
 
Km huyu jamaa wanaemwita DJ ambae IQ yake inatiliwa shaka kakiuza chama kwa EL, Akipewa nchi ataiuza pia. Tuweni makini na viongozi kama hawa.
 
Tena kakiuza kwa bilioni 10 tu kwa fisadi Lowasa
 
Politics is game of dynamics, uletewe striker kama Ronaldo na wafuasi million nyuma yake halafu uwakatae umekuwa kichaa!???
 
Mtaruka ruka sana mwaka!
Wanaouza TWIGA hamuwaoni!
Wanaouza meno ya TEMBO siyo wauzaji? Tulien
 
Acha ujinga kupambana na adui unatumia silaha yoyote itakayokuletea ushindi,by the way ni lini CCM ikaitakia CDM mema? ...na bado mtanyooka
 
Politics is game of dynamics, uletewe striker kama Ronaldo na wafuasi million nyuma yake halafu uwakatae umekuwa kichaa!???

Ukishinda mechi unachukua kombe mchezo umeisha. Ukishinda uchaguzi unaanza kazi muhimu ya kuongoza nchi.

Ni makosa makubwa kufananisha ushindi wa mechi na uchaguzi. We must think beyond uchaguzi.
 
Ukishinda mechi unachukua kombe mchezo umeisha. Ukishinda uchaguzi unaanza kazi muhimu ya kuongoza nchi.

Ni makosa makubwa kufananisha ushindi wa mechi na uchaguzi. We must think beyond uchaguzi.

Lowasa ni picha kazi itapigwa na wapiganaji kina mbowe, mbatia, lipumba nk..... Lowasa is a game changer
 
Inasikitisha sana pale mtu unapoamua kutoa taarifa za uongo na zilizojaa chuki bila kuwa na uhakika wa unachokiwasilisha kwa umma.PCCB wanafanya kazi 24 hrs kwa hiyo km unao ushahidi juu ya MBOWE na group lake kupewa hela na Lowassa, ebu fanya jambo la kishujaa ambalo litasababisha history ikukumbuke kizazi na kizazi.
 
Last edited by a moderator:
Atauza nini sasa wakati Tanzania ilishauzwa kitambo...
 
Mtaruka ruka sana mwaka!
Wanaouza TWIGA hamuwaoni!
Wanaouza meno ya TEMBO siyo wauzaji? Tulien

Tuhuma kama hizi zilitokea na zilizoeleka lkn CCM haikuuzwa. Leo hii DJ kapuuza maoni ya mtu alikipigania chama kwa miaka 20(Slaa) hadi kapata ulemavu wa mkono, mkewe alipigwa hadi mimba ikatoka unakumbatia MTU MCHAFU!!! Ama kweli watanzania hatujielewi.
 
slaa yupo wap jaman?

Kwa taarifa zilizopo, Slaa aliamua kujifungia ndani kwake kwa maombi makali huku akipata ushauri kwa njia ya cm. Hii ni baada tu ya maoni yake ya msingi kupuuzwa na Mbowe
 

You call yourself hamjauzwa na ccm!
Kweli mmekunywa maji ya bendera!
Leo hii ndo mnajifanya mnauchungu na dokta siyo? ? Mbaffffffff kabisa

Ukawa wanajielewa sanaaaaa!
Tulien hivo hiyo sindano haichomoki had oktober! ! !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…