Lowassa anawaza nini? Mimi najua anawaza nini. Anawaza jinsi ya kukifanya CCM kuwa chama cha upinzani.
Umesema ukweli uliyonigusa muda siyo mrefu mke wangu kaniuliza muda siyo mrefu lowassa hajaongea tu!!?Jamani huyu mtu LOWASA ataongea lini tupumzike na hili jina tuanze mambo mengine......kila kona ni Lowasa, kila nyumba ni Lowasa, ukifika bar ni Lowasa, ukiingia ofcn ni Lowasa,nikienda kucheza draft kote ni Lowasa, nikiongea na mke wangu dakika tatu badae kamtaja Lowasa......duh!
Lowasa ndo nan kwan??
Nikiwa Mwanachama Mtiifu Wa Chama Cha Democrasia Na Maendeleo Chadema, Kuna Tetes Zimeenea Kwenye Vyombo Vya Habari Kuhusu Ujio Wa Edward Lowasa Katika Chadema Hii Habari Siipingi Ila Nataka Kutoa Msimamo Wangu Kidogo, Sikubaliani Na Lowasa Kugombea Urais Kwa Kupitia Ukawa, Kwa Sababu Lowasa Ni Fisadi Kama Mafisadi Wengine, Kauli Yake Aliyomwambia Rais Ni Kitu Gani Nilikifanya Wewe Haukujua? Hapo Tu Ina Maanisha Lowasa Alifanya Yeye Ila Mkubwa Wake Alijua, Je? Tutawaambiaje Wananchi? Lowasa Aje Chadema Ila Asigombee Urais, Ninamwamini Sana Dr Slaa
CHADEMA wala hatuhitaji mwanachama kama wewe usiyejua kutumia fursa kuondoa mfumo CCM ambao ni kandamizi kwa wananchi. Kwa taarifa yako ni kwamba Lowassa anakuja na atagombea. Ushauri kwako na wenzako wote wa CCM mlioingiwa na hofu ya EDO kuja CHADEMA, muwe tayari kwa mafuriko.
Kwanza Kabisa Unaonyesha Jinsi Ulivyomkulupukaji Na Hamaki Ya Hali Ya Juu, Wewe Kama Ni Chadema Basi Umekuja Na Upepo Wa Kukatwa Kwa Lowasa, Mimi Niseme Tu Sihitaji Kujibizana Kwa Kashfa Ila Mimi Ni Chadema Nilijiuna Na Chama Mwaka 205 Na Sina Mpango Wa Kuhama Chama, Ila Nazungumza Ukweli Uliokwenye Moyo Wangu, Lowasa Amekuja Na Safari Ya Matumaini, Lakini Chadema Tumezunguka Nchi Nzima Tukiponda Safari Hiyo Ya Matumaini Tukiwaambia Wananchi Tunataka Safari Ya Uhakika, Sasa Lowasa Akija Na Hiyo Safali Ya Matumain Chadema, Na Amewatangazia Wananchi Kwamba Safar Ya Matumaini Iko Palepale Swali Langu Je? Tutawaambiaje Wananchi?
CHADEMA wala hatuhitaji mwanachama kama wewe usiyejua kutumia fursa kuondoa mfumo CCM ambao ni kandamizi kwa wananchi. Kwa taarifa yako ni kwamba Lowassa anakuja na atagombea. Ushauri kwako na wenzako wote wa CCM mlioingiwa na hofu ya EDO kuja CHADEMA, muwe tayari kwa mafuriko.