Voli kitoki
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 365
- 92
Ubaguzi huu utaisha lini? Lowassa ni nyani?
Ni fisadi
Ubaguzi huu utaisha lini? Lowassa ni nyani?
Jibu rahisi mtawaambia nyie ni wachumia tumbo, waroho wa madaraka na mko tayari hata kuuza nchi ili mshike dola
Huo ndo msemo tangu enzi, na hii inatokana na historia ambayo mababu zetu wameshuhudia kutoka enzi na enzi.
kwamba kimya kingi kinamshindo mkuu na mshindo wake hauvumiliki,.
kuongea sana wakati mwingine kunaonyesha udhaifu wako.
EDWARD NGOYAI LOWASSA ukimya wake takribani miaka saba ndio uliyemuweka akawa juu zaid ya chama, kwani baada ya kumhujumu kwa muda mrefu kuwa ni fisadi, gamba lakini hatimae wananchi wamejiuliza kwanini ni LOWASSA tuu, kwanin mtu huyu atupiuwe lawama zote hizi, ndipo wananchi walipochoka kusikia sauti hizo nakuamua kuungana nae kwenye safari ya matumaini.
sio kwasababu wananchi waliamua kumuunga mkono kwamba LOWASSA sio fisadi au sio msafi, bali ni ukimya wa LOWASSA ambao uliwaeka wananchi njia panda nakuona kuwa LOWASSA kasingiziwa. pamoja na kuwa jina lake limefanyiwa mizengwe na kukatwa na kamati ya maadili na kushindwa kufika Nec lakini bado LOWASSA kaendelea kuwa kimya mabapo bado kunawachanganya wananchi. Hii inamaana kwamba bado LOWASSA anawaaminisha wananchi kuwa alionewa na ndivyo wengi wanaamini mpaka sasa na hii imechangiwa na UKIMYA WA LOWASSA.
LOWASSA anazivuruga akili za watu, wananchi wanataka wasikie sauti yake, wajue anawaza nn, atoe tamko angalau hata salaam, wamuone hata kanisani, wanataka kujua anataka kufanya maamuzi gani, WANANCHI WANASUBIRI KWA HAMU KUBWAA..
Hata KIKWETE anahamu ya kujua LOWASSA anawaza nini, anataka nini, LOWASSA anamvuruga sana KIKWETE na timu yake, kiukweli LOWASSA ANAIVURUGA NCHI NZIMA.
Tuta takiwa kiking'oa kwanza chama kilicho laaniwa,ndipo tuanze kazi kujitengeneza.Naona ni upuuzi kufikiri tusiking'oe eti kwa sababu jitihada hizo zita changiwa na fisadiSijawahi kuona kauli za kijinga katika maisha yangu kama hii. Eti tutampokea fulani...anayetajwa kama gwiji la ufisadi, kuwa mgombea wetu halafu tukishaingia madarakani ndio tutapambana na ufisadi. Hili ni jambo la jabu!
Mtu akiwa na kiu ya madaraka anaweza kutumia njia yoyote kufika pale ili kutimiza malengo yake binafsi. Jamani baadhi ya watu hawataki uongozi wa nchi kwa sababu wana uchungu saaaana na nchi na wana wa nchi bali wana uchungu saana na matumbo yao na matumbo ya ndugu zao.Sijawahi kuona kauli za kijinga katika maisha yangu kama hii. Eti tutampokea fulani...anayetajwa kama gwiji la ufisadi, kuwa mgombea wetu halafu tukishaingia madarakani ndio tutapambana na ufisadi. Hili ni jambo la jabu!
Tuta takiwa kiking'oa kwanza chama kilicho laaniwa,ndipo tuanze kazi kujitengeneza.Naona ni upuuzi kufikiri tusiking'oe eti kwa sababu jitihada hizo zita changiwa na fisadi[/QUOTE
KUTOA FISADI IKULU NI NGUMU WATANZANIA TUPAMBANE NA MAFISADI WOTE HATA KAMA WAPO UKAWA, MSEMO WA MCHAWI MPE MWANAO AKULELE UMEPITWA NA WAKATI, UKIMKBIDHI MWANAO MCHAWI ATAMTAFUNA
Ukiing'oa ccm umeng'oa ufisadi TanzaniaMnakaribisha safari ya matumaini au ya MATUMIZI.?
Siasa ni kama mchezo wa mpira unapofanya kosa ndipo unapompa mwenzako nafasi ya kukupiga bao kwa kutumia kosa lilelile ulilolifanya.
CCM walifanya kosa kubwa sana ambalo mwisho wake utaishia kuwagharama kwa kushindwa kumchukulia Lowassa hatua za kisheria mapema pamoja na kwamba walikuwa wanaelezwa kuwa ni fisadi na hata wao walikuwa wanamjua kuwa ni fisadi.
Kwa kitendo cha CCM cha kumuacha Lowassa bila kumpeleka kwenye vyombo vya sheria ili vikathibitishe ufisadi wake moja kwa moja kinamvua Lowassa kwenye vitendo vya ufisadi awe alifanya au hakufanya.
Kwa hiyo hata kama wapinzani watamchukua Lowassa na kumtumia kuiondoa CCM madarakani watakuwa wamemchukua mtu safi asiye na kosa lolote kwa kuwa Lowassa hajawahi kupelekwa Mahakamani chombo pekee ambacho kinamamlaka ya kumtia mtu hatiani baada ya tuhuma alizokuwa ana tuhumiwa nazo kuthibitishwa kwanza, zaidi ya hapo Lowassa ataendelea kuwa mtu safi pamoja na kuwa na tuhuma za ufisadi.
Hata yule aliyeuza nyumba za serikali alikuwa na uchu wa madarakaMtu akiwa na kiu ya madaraka anaweza kutumia njia yoyote kufika pale ili kutimiza malengo yake binafsi. Jamani baadhi ya watu hawataki uongozi wa nchi kwa sababu wana uchungu saaaana na nchi na wana wa nchi bali wana uchungu saana na matumbo yao na matumbo ya ndugu zao.