Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA


Wewe ukihama pekee,kuna wanaoingia ndani ya chama 1000 kila siku,
 

Naona mwaka huu kitengo ndio kimewasababishia maccm kuondoshwa ikulu
 

Ccm ndio inaendelea kukata roho taratibu na kuungana na kina KANU,na upc
 

Halafu kibaya na dhambi ni pale hao hao wanatumia muda mwingi kumtukana mtu huyo kuwa ni Fisadi, wanatumia mikutano na media kumtusi kwa matusi yote ya duniani na baada ya muda wanasahau wanaanza kumsifie tena kuwa sio Fisadi ni mtu mwema wa kupigiwa mfano na tena ni kamanda daaaaaaa nahisi kizunguzungu daaaaaaaaa!!!
 
Mimi sioni ubaya wa Lowasa kuamia Chadema ...
Kama atafata taratibu za Chama basi nakukaribisha Tena kwa mikono miwili..
Tatizo sio Lowasa tatizo ni Ccm..
Hata Kikwete akikubalia na taratibu za chama tunamkaribisha Chadema

Hiyo ndiyo siasa
 
Hiyo ndiyo siasa

He he he he he!!!!! Wewe inabidi turudie michango yako ya matusi juu ya huyu tuipost hapa ili tuone kama akili yako iko sawasawa! Je unachokisema kinafanana na akili yako?una bahati hauonekaninungejuta kuzaliwa wewe!
 
Kwaiyo kwakua Ccm wamemtaja makomeo basis na UKAWA wamtaje sio...!!??
Acha kukaririshwa mambo...!!!
Usipanic Jombaa take a time and relax your birthday is coming..
Tutakuimbia tu..
 
Huo ndo msemo tangu enzi, na hii inatokana na historia ambayo mababu zetu wameshuhudia kutoka enzi na enzi.
kwamba kimya kingi kinamshindo mkuu na mshindo wake hauvumiliki,.
kuongea sana wakati mwingine kunaonyesha udhaifu wako.
EDWARD NGOYAI LOWASSA ukimya wake takribani miaka saba ndio uliyemuweka akawa juu zaid ya chama, kwani baada ya kumhujumu kwa muda mrefu kuwa ni fisadi, gamba lakini hatimae wananchi wamejiuliza kwanini ni LOWASSA tuu, kwanin mtu huyu atupiuwe lawama zote hizi, ndipo wananchi walipochoka kusikia sauti hizo nakuamua kuungana nae kwenye safari ya matumaini.
sio kwasababu wananchi waliamua kumuunga mkono kwamba LOWASSA sio fisadi au sio msafi, bali ni ukimya wa LOWASSA ambao uliwaeka wananchi njia panda nakuona kuwa LOWASSA kasingiziwa. pamoja na kuwa jina lake limefanyiwa mizengwe na kukatwa na kamati ya maadili na kushindwa kufika Nec lakini bado LOWASSA kaendelea kuwa kimya mabapo bado kunawachanganya wananchi. Hii inamaana kwamba bado LOWASSA anawaaminisha wananchi kuwa alionewa na ndivyo wengi wanaamini mpaka sasa na hii imechangiwa na UKIMYA WA LOWASSA.
LOWASSA anazivuruga akili za watu, wananchi wanataka wasikie sauti yake, wajue anawaza nn, atoe tamko angalau hata salaam, wamuone hata kanisani, wanataka kujua anataka kufanya maamuzi gani, WANANCHI WANASUBIRI KWA HAMU KUBWAA..
Hata KIKWETE anahamu ya kujua LOWASSA anawaza nini, anataka nini, LOWASSA anamvuruga sana KIKWETE na timu yake, kiukweli LOWASSA ANAIVURUGA NCHI NZIMA.
 
Unaburuzwa wewe,miaka 53 ya uhuru bado mmeng'ang'ania madaraka wakati wananchi wanaendelea kuishi maisha ya dhiki hata mlo wa siku unawashinda
Tutakuwepo kwa miaka mingine 53, kwanza mpaka sasa nyie si washindani.
Hamna hata jina la rais wenu mtarajiwa, siye Magufuli tuna uhakika wa kushinda tena.
 
Jamani huyu mtu LOWASA ataongea lini tupumzike na hili jina tuanze mambo mengine......kila kona ni Lowasa, kila nyumba ni Lowasa, ukifika bar ni Lowasa, ukiingia ofcn ni Lowasa,nikienda kucheza draft kote ni Lowasa, nikiongea na mke wangu dakika tatu badae kamtaja Lowasa......duh!
 
Tutakuwepo kwa miaka mingine 53, kwanza mpaka sasa nyie si washindani.
Hamna hata jina la rais wenu mtarajiwa, siye Magufuli tuna uhakika wa kushinda tena.

Hongera sana kwa kuendelea kuweweseka baada ya kipigo cha 2-0 huko mwanza na musoma.
 
Tutakuwepo kwa miaka mingine 53, kwanza mpaka sasa nyie si washindani.
Hamna hata jina la rais wenu mtarajiwa, siye Magufuli tuna uhakika wa kushinda tena.

Hongera sana kwa kuendelea kuweweseka baada ya kucharazwa baada ya wana wa kanda ya ziwa kukataa kutumiwa na ccm
 
Hongera sana kwa kuendelea kuweweseka baada ya kucharazwa baada ya wana wa kanda ya ziwa kukataa kutumiwa na ccm
Mpaka sasa UKAWA/CHADEMA ni kama kuku asiye na kichwa, hongera zaidi zikujie wewe mwenyewe binfasi kwa kutolitambua hilo.
 
Mpaka sasa UKAWA/CHADEMA ni kama kuku asiye na kichwa, hongera zaidi zikujie wewe mwenyewe binfasi kwa kutolitambua hilo.

Asante sana na nakupongeza kwa kuendelea kufuatilia mchakato wa kumpata rais atakaye waongoza watanzania kwa hawamu ya 5 kupitia ukawa.
 

duuuuuuuuh!!!! na wewe kumtaja mara saba si haba!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…