Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Chadema hakuna wenye akili kama zako, wewe utakuwa gambaz tu, Lowassa lazima atie timu ufipa na lazima agombee urais, Slaa soon atarudi CCM
 
we ni nani kwenye chama kama wafalme wenu mbowe na slaa wanamkubali. chadema hakina falsafa ni ndumila kuwili tu
 
Hakuna kosa kwa lowasa kuhamia chadema kani haijaandikwa katika biblia au msaafu kuwa unapokua mwanachama wa chama fulani huwezi kuhamia chama kingine.
 
MUNGU mwenyewe anasamehe dhambi tena zile kubwa kubwa ukikiri na kutubu wewe ni nani ambaye huwezi kusamehe? Taratibu,vigezo na masharti yakizingatiwa hakuna shida ili mradi lengo la kuuondoa huu mfumo mbovu wa CCM linatimia.
Ujue CCM wanafurahishwa sana wao wakiwa watawala daima na wengine wapinzani, ndio maana wanakebehi sana kila kitu.
 
MUNGU mwenyewe anasamehe dhambi tena zile kubwa kubwa ukikiri na kutubu wewe ni nani ambaye huwezi kusamehe? Taratibu,vigezo na masharti yakizingatiwa hakuna shida ili mradi lengo la kuuondoa huu mfumo mbovu wa CCM linatimia.
Ujue CCM wanafurahishwa sana wao wakiwa watawala daima na wengine wapinzani, ndio maana wanakebehi sana kila kitu.

Lowasa katubu dhambi zake?
 
Hakuna siku ambayo itanifanya niichukie chadema nikiwa miongoni mwa wachadema wazalendo kama Sikh nitakayosikia Kuwa bwana Lowassa no mwanacha mwandamizi wa chama chetu kinachojipambanua kwa kupinga ufisadi kama chama kitampokea lowassa Mimi lasmi nitaachana na siasa kwa sababu chama kitakuwa kimekiuka itikadi na falsafa yake na hilo ndilo litakuwa kaburi la chadema, tutafakari pamoja swala wanna jukwaa.

Kama Lowasa ataiondoa CCM madarakani, akaribishwe, then CDM itakaa na kumkataza ufisadi! Au vipi unaionaje hiyo, even to impeach him if he does not conform!
 
Sasa if that is the case,zitto angesamehewa,lakini hapa wakubwa mmechemsha,hasa mwenyekiti anapotoa sababu dhaifu kabisa eti CHADEMA ni cha watu wote.
 
Ama kweli watanzania badooo sanaaa vichwani bado tuna kazi kubwa ya kupiga hatua
 
Sasa if that is the case,zitto angesamehewa,lakini hapa wakubwa mmechemsha,hasa mwenyekiti anapotoa sababu dhaifu kabisa eti CHADEMA ni cha watu wote.

zitto alikuwa adui wa ndani wa chama(mamluki)jambo hatari kabisa kwa chama tofauti na lowassa
 
Tatizo la Watanzania tunaitikiaitikia tu kila wimbo wanaouimba watawala !Leo wanatuaminisha kuwa lowassa ni fisadi, cha kushangaza hawampeleki mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.Ninaamini wimbo huu wa ufisadi umewalenga wale wote wasiopendwa na watawala. Mbona walioiba pesa za escrow wakachukua pesa kupitia benki ya stanbic hawatajwi?Watawala wasitufanye sisi ni wajinga.
 
MUNGU mwenyewe anasamehe dhambi tena zile kubwa kubwa ukikiri na kutubu wewe ni nani ambaye huwezi kusamehe? Taratibu,vigezo na masharti yakizingatiwa hakuna shida ili mradi lengo la kuuondoa huu mfumo mbovu wa CCM linatimia.
Ujue CCM wanafurahishwa sana wao wakiwa watawala daima na wengine wapinzani, ndio maana wanakebehi sana kila kitu.

Mkuu ccm na mawakala wao kwa sasa wanahangaika mitandaoni kujifanya ni wana cdm,eti hawamtaki lowasa ni ujinga mtupu
 
Sasa if that is the case,zitto angesamehewa,lakini hapa wakubwa mmechemsha,hasa mwenyekiti anapotoa sababu dhaifu kabisa eti CHADEMA ni cha watu wote.

Jiandaeni kwa kupigwa na kugaragazwa
 
Mkuu ccm na mawakala wao kwa sasa wanahangaika mitandaoni kujifanya ni wana cdm,eti hawamtaki lowasa ni ujinga mtupu

Walimdhamini watu karibu milioni moja badala ya 450 wakubwa wakaona tulimwita gamba yeye kanyamaza huyu. atatushughulikia wakamkata .
Sasa wamejaza debe zima kwa hofu kuwa zile kura milioni zinaondoka.. Yeye kimya vuvuzela kelele mitandaoni.
 
Walimdhamini watu karibu milioni moja badala ya 450 wakubwa wakaona tulimwita gamba yeye kanyamaza huyu. atatushughulikia wakamkata .
Sasa wamejaza debe zima kwa hofu kuwa zile kura milioni zinaondoka.. Yeye kimya vuvuzela kelele mitandaoni.

Kweli mkuu ukifuatilia hapa jf,wameibuka wana cdm fake kweli kujifanya eti hawamtaki kumbe ni mapandikizi ya ccm,wana hofu kubwa sana
 
we ni nani kwenye chama kama wafalme wenu mbowe na slaa wanamkubali. chadema hakina falsafa ni ndumila kuwili tu

Mwaka huu mtatukana mpaka matusi yawaishie lkn mwisho wenu wa kuishi magogoni ndio umefikia kikomo.
 
Back
Top Bottom