Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,384
- 11,268
sijakuelewa na Story yako ni ndefuuuu sanaUkwaju,signature yangu imekuingia vyema akilini.Haitakaa hata siku moja CCM iachane na wafanya biashara,wezi,wala rushwa,ufisadi ,madwa ya kulevya,majangili nk nk,mpaka pale wanachama wake watakapoamua kwa dhati sasa basi!!!!!!!!!!!!
Mimi ni upinzani toka umeanza,na wala silipingi wala sikatai,na wala sitaki kuhama chama ,chama changu ni CDM
kifupi CCM haina mafisadi na wote wanaokuja kwa gia ya biashara watatoka taratibu kipindi hiki cha miaka 10 ya Urais wa Magufuli