Nimenasa mpango mzito wa siri wa kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi mwaka huu kiulainii bila kutumia nguvu kuanzia ngazi ya udiwani, ubunge na Urais. Mpango wenyewe umeanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2011 kwa mamluki wengi kupandikizwa chadema kuanzia ngazi ya mtaa mpaka taifa; Nawahakikishia kuwa CCM itashinda kata nyingi na majimbo mengi bila kupingwa baada ya mamluki kujitoa pindi watakapokuwa wamepitishwa na NEC; Katika nafac ya urais ndugu Magufuli anatarajia kushinda kiulaini baada ya mgombea wa chadema ambae anatarajiwa kuwa Lowasa kujitoa katika mbio hizo baada ya kuwa nae ameshapitishwa na Tume ya uchaguzi. Lowasa ni sehemu ya mpango huo wa kuhakikisha ccm inashinda kiulaini huwezi mtenganisha lowasa na ccm na Kikwete
Kwa Tafsiri hii, ya kuyakumbatia maovu ambayo walikua wanayapinga......
Kwa kumkaribisha yule waliyekua wanamtuhumu majukwaani.....
Kwa kutudanganya tuamini yale wanayotaka tuamini kumbe sivyo.......
Kama ni kweli mmemkaribisha huyu mtu.........
Nyie sio wa kuaminika, hamfai...hamchelewi kutubadilikia mkiwa ikulu.......
Mnapinga nini na kufanya nini????
Uongozi wa ikulu ni muhimu kuliko uhusiano wenu na wanaowaamini...
MMewasaliti Watanzania kwa uchu wa IKULU......
Mtawatawala vipi wale mliowasaliti......
Ina maana mlikua mnatoa tuhuma za UONGO juu ya huyo mtu....
Kama ni tuhuma za Uongo...tokea muanze kutoa TUHUMA mmetoa ngapi za uongo na ngapi za Ukweli....
Tunashindwa kuamini tena hata mkituambia kua yapo ya ukweli mliyotuambia....
Imani juu yenu imepotea.....
CHADEMA hamuaminiki tena...
ukawa/ chadema mtaisoma namba ccm ni ile ile mambo yote mbele kwa mbele
Nimenasa mpango mzito wa siri wa kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi mwaka huu kiulainii bila kutumia nguvu kuanzia ngazi ya udiwani, ubunge na Urais. Mpango wenyewe umeanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2011 kwa mamluki wengi kupandikizwa chadema kuanzia ngazi ya mtaa mpaka taifa; Nawahakikishia kuwa CCM itashinda kata nyingi na majimbo mengi bila kupingwa baada ya mamluki kujitoa pindi watakapokuwa wamepitishwa na NEC; Katika nafac ya urais ndugu Magufuli anatarajia kushinda kiulaini baada ya mgombea wa chadema ambae anatarajiwa kuwa Lowasa kujitoa katika mbio hizo baada ya kuwa nae ameshapitishwa na Tume ya uchaguzi. Lowasa ni sehemu ya mpango huo wa kuhakikisha ccm inashinda kiulaini huwezi mtenganisha lowasa na ccm na Kikwete
Nikiwa kama mshambuzi wa mambo
Ndugu wanajamii,
Nimesoma kwa tahadhali sana maandiko juu ya kumkaribisha Lowasa Chadema ambayo yamemnukuu Mr.Mbowe na wabunge kadhaa ndani ya chama. Binafsi nimestushwa kwani sifikirii kama chama kitatueleza nini wafuasi wa dr.slaa juu ya posibility kwamba atakuwa replaced na lowasa....
Natahadhalisha kwamba maamuzi yakifikia huko then tufanye referendum ndani ya chama kujua upepo unaendaje. Haiwezekani mtu akatwe ccm asababishe kukatwa kwa mlezi tegemeo wa chama. pia natahadhalisha isije ikawa ni gabachovu wa ccm kaja kama mtengwa kumbe ni longterm plan yao kutuvuruga.
Msiseme sijasema.