Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA


Ama akili yako haina akili au ni utoto unakusumbua! Unaandika kitu gani hili?!
 
Chdm+ukawa ni sikio LA kufa halisikii dawa!!! Nimajuz tu zito aliibua swala LA epa+Richmond. Lowasa akawajibishwa? Sasa Leo hayo ya ufisadi yamesahaulika. Salsa anabembelezwa ajiunge chdm. Mmmmhhhhh
 

Maana yake ni moja tu, kumbe wanahubiri wasichokimaanisha na inadhihirisha ipo siku wakaja kusema na mengine meñgi. Yawezekana kabisa ZZK hakuwahi kuwa na hatia kama walivyokuwa wanamsimanga, kumb CDM wana ndimi mbili hivi mwisho wa safari wanageuka nyoka na kuwa na sura mbili kama popo ...CDM mtaadhibiwa na watanzania kwasababu mpaka sahivi wenyr akiri tushaanza kuwadharau tayari ..huu ni upofu wa madaraka ilimradi mwend Ikulu hata kama ni kwa kumkana malaika, njaa zenu ni sumu sana kwa nchi yetu
 
CHADEMA acheni upofu, make analysis..

Je Lowassa akijitoa mtafanyaje? What is plan B?

Mapenzi huleta upofu.....

Why do you put such big risk to a part .... Lowassa ni binadamu, na anaweza kusaliti na akajitoa, mtafanyaje...

Mimi naamini Dk. Slaa anatosha kabisa.

Kwenye kura za maoni Dk. slaa alikuwa mbele ya magufuli sana..

Kama Akina Mbowe na Ndesamburo wataamua kurisk chama, basi wanachama wengi wa CDM watapigia kura CCM

Exchange of fans - wale wa Lowassa waje CDM na wale wa CDM waende CCM......

Dr. Slaa anatosha kabisa....
 
Lowasa atasaidia sn kuitoa ccm madalakani
 

Mr. Emmy.... Hongera.............. Wanaopinga waje waseme... Je Lowassa akitoa, watafanyaje?
 

Akiondoka nami nitamfuata aendapo
 
Mbona mnjamba jamba na mambo ya ukawa,magamba punguzeni presha dawa iwaingie.Mambo ya ukawa yanawahusu nini?

Hah haa kiloriti Mfuasi mkubwa wa Lowassa mimi najua kiloriti adui wao mkubwa alikuwa ni Membe na secretariety ya ccm.
 
Last edited by a moderator:
mpaka sasa hivi sisi hatuitaji wamtaje kwenye urais au wamfiche kwenye uwaziri mkuu hili kutuada watanzania tunajua walichokipanga wala hatuitaji tena utetezi wao maana hawa ni wanafiki wanaweza kesho kusikia wanakata kwevye vyombo vya habali tena vya kwao ,lakini ukweli utabaki kuwa ukweli,ni mtu wao nwa ukweli chini ya mpago wao,
 
Yote yanawezekana ukiunganisha na kutangulia kwa milya napata hofu fulani vile. Kumbuka mwaka 2010 kuna semina ya vijana wa CCM ilifanyika Zanzibar tuliambiwa kuwa kuna long time plan ya kufanya wanaCCM wachanganyike na vyama pinzani kama ilivyo Kenya ili yeyote akishika dola alinde masilahi ya wanaCCM na CCM yenyewe.
 
Watanzania wako very desperate, kwa hakika hawajui ni nini hasa wakitakacho and they can fall for anything. Kwa haya ni bora tu "kitengo" wawachagulie rais!!!!!
 
Team Slaa Mimi kama mmeshindwa kazi, Mbowe useme. Sikatai kupewa uanachama ila sio kugombea
 
Kama Chadema itaamua Dkt Slaa ampishe Lowasa itakuwa na athari mbaya katika Falsafa yao ya Muda mrefu ya kupambana na Ufisadi, pia inaweza kumpa Kick na Platform murua Zitto Kabwe na ACT yake. Pia itakuwa ndo Mwisho wa kisiasa wa Slaa kama Upinzan utashindwa kwa kuwa 2025 hatutegemei Slaa atakuwa na nguvu za kufanya siasa. Chadema hawapaswi kubadili itikadi yao ya Chama ya miaka 23 kwa kuwa tu Kamati kuu ya Ccm ilugeuzwa Muhuri wa Kamati ya Maadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…