Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Humu wengi ni ccm wana comment kujifanya wao ni chadema hawamtaki lowassa duu kumbe wanaongea ili kuwaamsha watu wawaunge mkono ktk kumpinga aisee

Haswaa,ukiangalia IDz nyingi ni mupya..wanamuogopa balaa
 
Mie sioni haja ya kuwa na hasira. Ooh! Ntarudisha kadi kwa manufaa ya nani sasa? Hivi hayo mnayowaza mnadhani wao hawajalitazama hilo??!! Wapeni nafasi ya kujieleza kwann wanampokea Lowassa !!!
 
Na sio vyama kwa nyie mnaejali kweli Chama chenu kwa kutishiana kutoka. Na kila kura ya mtu hata kama ni mmoja ina umuhimu kwenye uchaguzi wowote.
 
Wajaribu kuweka kama kweli ni chaguo la wananchi. Na anaweza kuleta kizaa zaa kama cha Mrema Labda
 
Kwa mungu wako hana uwezo wa kukusikia wala kukujibu, lakini na kwa MUNGU aliyeumba mbingu na dunia, unampigia kelele tu....

Kumbuka ndio huyo mungu tulikesha tukimwomba na lowassa akakatwa na ccm lakini kabla walitukebehi kama wewe unachofanya sasa hivi na pesa yote waliotumia lakini bado akashinda aliyetumia hata 10mil haifiki
 
Sijawahi kuona imani kubwa kama hii katika Tanzania yote.

Tingatinga lililotumika kujenga barabara ndilo litakalotumika kubomoa barabara .Hakuna namna nyingine.

Ila kuna watu wa ajabu....hivi anayesemekana ni raisi mtarajiwa a.k.a yake tingatinga....???noma sana kwa kweli
 
Mbowe safiiiii...👏👏👏👏👏👏👏👏👏


Lowassa akiungana na UKAWA + ACT...naapa CCM kifo cha mendeeeeeeeeee......kwa sauti ya Prof. Lipumbaaaaaaaa

Mbowe ni mjanja sana sanaaaaaaa....

Na uhakika, Mbowe atakuwa Waziri Mkuu wa kwanza kutoka Muunganiko wa UKAWA + Lowassa...

Hakuna namna CCM itapona, hata iweje, ikiwa LOWASSA ataungana na Chadema + Cuf + Nccr + ACT... hakuna namna...!!!

Huu muunganiko ni mkubwa na very very powerful mara 100% zaidi wa ule wa Kenya 2007...👏👏👏👏👏👏👏👏
Sijui Mr President yuko wapi siku hizi?naona amepotea tangu kipenzi chake Laigwanan akatwe na CC ya CCM.
 
By EasyFit:
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia
na Maendeleo CHADEMA Mh. Aikael
Mbowe amemkaribisha rasmi Edward
Lowassa kwenye chama hicho.
Amesema CHADEMA ni chama cha
watanzania wote, ameongeza kusema
kuwa mgombea yeyote atakayewakilisha
UKAWA ndiye atakayekuwa rais.
Chanzo: Habari Magazetini.
Yes yes! We must "bury the axe into the head of a common enemy".
 
Nakaribisha ujio wa Lowassa ukawa/chadema Lakini asiwe mgombea urais. Lowassa akipitishwa kugombea urais ukawa nitapiga Kura yangu ya kumchagua Rais CCM.

Mnyika atapata Kura yangu kwa utendaji wake na si tena kwa mapenzi ya chama

Kwani wapi mbowe kasema lowassa atakua mgombea wa ukawa?
 
Hapo ccm wanamtafuta mtu wao muhimu wa kulinda mali na maslahi ya wakubwa
 
Back
Top Bottom