Hii dhambi ya ubaguzi itatufikisha pabaya,Eti hawakupendelea kwao,niambie kwanini watu wengi jeshini toka e. i za Nyerere walitokea kanda ya ziwa?Kwanini kulikua na viwango tofauti vya ufaulu ktk mikoa mbalimbali?Kwanini Mkapa alileta Mtwara corridor?Unafaham kuhusu Kikwete na Bagamoyo?na mengine mengi ya upendeleo? Je Magufuli siyo kabila kubwa?Siku ile waliposema wakinaRIZ1 nchi hii hatatawala wa kaskazini sikujua maana yake,hebu ona kwa NYERERE ona kwa MWINYI ona kwa MKAPA,hawakupendelea kwao kabisa yalikuwa makabila madogo.tuepuke makabila o
makubwa.tujenge Nchi yetu.
sio kila kitu kinachosemwa jukwaani kina ukweli vingine ni kwa ajili ya kupumbaza watu ss km uyo lowasa km ni kweli fisadi mbona ajapelekwa mahakamani km kinamramba
Siku ile waliposema wakinaRIZ1 nchi hii hatatawala wa kaskazini sikujua maana yake,hebu ona kwa NYERERE ona kwa MWINYI ona kwa MKAPA,hawakupendelea kwao kabisa yalikuwa makabila madogo.tuepuke makabila makubwa.tujenge Nchi yetu.
Haiingii akilini slaa alivyotuambia kuhusu ufisadi wa lowassa kuhusu ujenzi wa ofisi ya mbunge alivyotafuna pesa na ufisadi wa aina nyingi tu waliomsema. Huu utakuwa ni ujinga wa hali ya juu kwa watanzania wakimchagua fisadi aliyekuwa anatamkwa na kila aina ya dhambi na upinzani.
Nadhani sasa tumeelewa nini maana y'all siasa na hasa upinzani kama wenzenu wameamua kujivua gamba kwa kukesha na kuamua kumkata licha ya gharama aliyotumia kuwashawishi ccm kumpitisha leo hii mbowe bila aibu anamkaribisha ni tamaa ya viongozi wa chadema kutaka njia ya mkato kuchukua madaraka.
Chadema itakuwa ndio mwisho wao hasa magufuli akishinda wananchi hawatawaamini tena na uongo wenu.[/QUOT
CDM ni mtambo wa kurekebisha tabia bwana...
Magufuli ni kabila dogo?
walimwita mwizi walimwita fisadi au sio huyo au sio hao
Haiingii akilini slaa alivyotuambia kuhusu ufisadi wa lowassa kuhusu ujenzi wa ofisi ya mbunge alivyotafuna pesa na ufisadi wa aina nyingi tu waliomsema. Huu utakuwa ni ujinga wa hali ya juu kwa watanzania wakimchagua fisadi aliyekuwa anatamkwa na kila aina ya dhambi na upinzani.
Nadhani sasa tumeelewa nini maana y'all siasa na hasa upinzani kama wenzenu wameamua kujivua gamba kwa kukesha na kuamua kumkata licha ya gharama aliyotumia kuwashawishi ccm kumpitisha leo hii mbowe bila aibu anamkaribisha ni tamaa ya viongozi wa chadema kutaka njia ya mkato kuchukua madaraka.
Chadema itakuwa ndio mwisho wao hasa magufuli akishinda wananchi hawatawaamini tena na uongo wenu.[/QUOT
CDM ni mtambo wa kurekebisha tabia bwana...
Mbona walishindwa kuwarekebisha akina Zitto mpaka wakawafukuza?
safari yamatumaini ipo ukawa pekee karibu mpambanaji
safari yamatumaini ipo ukawa pekee karibu mpambanaji
Mbona walishindwa kuwarekebisha akina Zitto mpaka wakawafukuza?
Zitto alikataa kurekebishwa! Hata huyo EL naye akichemka natumaini atashughulikiwa tu CDM ni chama chetu wote..
Jana alikua fisadi leo kageuka mpambanaji!
Vichwa vya bata kazini!
Zitto alikataa kurekebishwa! Hata huyo EL naye akichemka natumaini atashughulikiwa tu CDM ni chama chetu wote..
Namwomba mungu awaadhibu kwa unafiki wenu wa kupewa pesa ili mumpokee huku mlishasema hashafishiki hata kwa jik leo hii mnameza matamshi yenu.
Sana, Wasubi wako wangapi nchi hii?