Asante kwa masihihisho ila tupo tayari kukuondoa wewe ili kuwanusuru na wenye mamlaka na wasio na mamlaka.Halafu tofautisha dola na nchi. Nchi haiwezi kuua mtu Kama unavyofikiri. Halafu kwanini uuwe mtu wakati mahakama zipo?
Kwa hivyo majawmbazi wanaoua watu na kuwavamia usiku ni watakatifu Sana kuliko wanasiasa wa upinzani?
Dau la Lowassa lilikuwa kubwa kiasi kwamba Mbowe asingeweza kulikataa.Ukiulizwa dau shilingi ngapi huwezi kutaja.
kamuulize selasini maana alikuwa chadema na yuko nccrFreeman Mbowe aligombea Urais wa JMT mwaka 2005 na kuambulia kura kiduchu
2010 akamshawishi kipenzi cha Wana Karatu Dr Slaa aachane na ubunge ili agombee Urais na yeye Mbowe akarudi Hai kugombea ubunge
2015 baada ya Dkt. Slaa kufanya kazi kubwa kiasi cha kukubalika na wananchi kwa 85% Mbowe akaenda CCM kumkodisha Lowassa na kumtupa nje Dr Slaa
Wakati wa kampeni mzee Lowassa anaongea ndani ya Kanisa kwamba 2015 ni zamu ya.dhehebu fulan lakini ulipofika uchaguzi akapigwa chini ma Mseminari shujaa Maguful
Je, Mbowe ni CCM kama anavyotuhumiwa Mbatia?
😀😀😀😆Propaganda zenu tulishazichoka. Kila mtu Tanzania ni kitengo hakuna mtu asiye kitengo. Kawadanganye wengine.
Leo mnamwita kitengo lakini Jana kwenye kesi yake mlimwita gaidi.
Dau la Lowassa lilikuwa kubwa kiasi kwamba Mbowe asingeweza kulikataa.
Ndio maana kwa jeuri ya dau lake Lowassa alikataa kuvaa magwanda ya Chadema wakati wote aliokuwa nao!
Asante kwa masihihisho ila tupo tayari kukuondoa wewe ili kuwanusuru na wenye mamlaka na wasio na mamlaka.
👂👂
🚶🚶🚶
Mbowe ni mtu wa kitengo bwashee, yuko pale kimkakati.
😀😀😀😆
ZITTO SIO KITENGO tumewachoka na ngonjera zao.
Inawezekana.maana alikuwa mlinzi pale.Benki kuuMbowe ni mzee wa kitengo kama ilivyo kwa wenyeviti wenzake wa upinzani waliomtangulia. Ni jamii ya kina Mrema, Cheyo, Lipumba, Mbatia nk. Isipokuwa Mbowe kawazidi ujanja waliomtangulia, kwani yeye amefanikiwa kujiongeza kwa kutumia fedha za chama kama vile ruzuku kuunda kundi la chawa mitandaoni ili limpiganie kuficha ushiriki wake katika kitengo hicho.
HUMJUI MBOWE WEWE YULE KWENYE HELA HAFAISwali lako ni la kichokozi tu?.
1. Wakati Mbowe anatumiwa Sahbaya akamshughulikie Hai, mpaka kuunda kundi la kuzomea mikutano ya Mbowe, mbona hukuuliza Kama ni CCM.?.
2. Wakati Mbowe amevamiwa na Byakanwa Mkuu wa Wilaya kabla ya Sabaya, na kuharibu shamba lake mbona hukuuliza Kama ni CCM?. Na kitendo Cha Byakanwa kuharibu shamba la Mbowe kikapelekea kupewa ukuu wa Mkoa Mtwara.
3. Wakati Mbowe anabomolewa Bilcanas yake na serikali mbona hukuuliza Kama ni CCM ?.
4. Wakati Mbowe anafukuzwa kwenye Jengo la NHC mbona hukuuliza Kama sio mwana CCM.?
5. Wakati Mbowe anafunguliwa kesi ya ugaidi na Rais kuongea hadharani kuwa alikimbia nchi kwa kuogopa kukamatwa. Na Wana CCM wote kugeuka na kuanza kumwita gaidi, kipindi hicho hakuwa Mwana CCM.?
Tuache maswali yasiyokuwa na mantiki baadala ya kuangalia uhalisia. Mbowe angekuwa CCM leo usingeuliza hilo swali lako maana ingekuwa wazi kabisa lakini kwa sababu sio CCM umeamua kuuliza hili swali.
Lowassa aliondoka na wabunge wake akina Ole milya, Dr Mollel nkBwashee yaelekea wewe sio bingwa wala mjuzi wa mbinu za medani ya siasa au umesahau Lowassa alitupatia wabunge, madiwani, wenyeviti wangapi?
That's strategic planning young man which unfortunately is not your forte
Sishangai ww kubisha nilichoandika, kwa vile najua na ww ni mmoja wa wale waliowekwa humu kuzuia watu kujua ukweli kuhusu uhusika wake kwenye kitengo. Wapinzani wa kweli walikuwa mch Mtikila na Kighoma Malima.Propaganda zenu tulishazichoka. Kila mtu Tanzania ni kitengo hakuna mtu asiye kitengo. Kawadanganye wengine.
Leo mnamwita kitengo lakini Jana kwenye kesi yake mlimwita gaidi.
Hawa watoto hawajui kwamba Mfumo wa vyama vingi ulianzishwa na CCM yenyeweSishangai ww kubisha nilichoandika, kwa vile najua na ww ni mmoja wa wale waliowekwa humu kuzuia watu kujua ukweli kuhusu uhusika wake kwenye kitengo. Wapinzani wa kweli walikuwa mch Mtikila na Kighoma Malima.
Aisee pole sana kwa utafiti 😂Yani hizi ngonjera zenu zinaishushia hadhi TISS. Mara gwajima kitengo, Mara makonda kitengo, Mara Mdee kitengo, Mara gwajima kitengo, Mara sheikh Alhad Salum kitengo, Mara Mbatia kitengo, Mara Zitto kitengo etc.
Tatizo lako ukisikia kitengo unahisi sijui ni TISS tu, hao wanakuwa assigned tu kutimiza misheni fulaniTanzania kila mtu ni kitengo, sio Mbowe tu.