ngenya
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,088
- 1,327
Inashangaza nini hii?Yani hizi ngonjera zenu zinaishushia hadhi TISS. Mara gwajima kitengo, Mara makonda kitengo, Mara Mdee kitengo, Mara gwajima kitengo, Mara sheikh Alhad Salum kitengo, Mara Mbatia kitengo, Mara Zitto kitengo etc.
Hao wote ni wanufaika na kazi yao ni kukuhadaa wewe na jumuiya za kimataifa zilizoleta masharti ya misaada kwa kulazimisha vyama vingi…. haishindikani kugawana majukumu ili kula keki ya Taifa.