Mbowe alivyomtoa Dkt. Slaa kwenye Ubunge ili agombee Urais, baadaye akamtosa na kumleta Lowassa. Mbowe ni CCM?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,750
139,533
Freeman Mbowe aligombea Urais wa JMT mwaka 2005 na kuambulia kura kiduchu

2010 akamshawishi kipenzi cha Wana Karatu Dr Slaa aachane na ubunge ili agombee Urais na yeye Mbowe akarudi Hai kugombea ubunge

2015 baada ya Dkt. Slaa kufanya kazi kubwa kiasi cha kukubalika na wananchi kwa 85% Mbowe akaenda CCM kumkodisha Lowassa na kumtupa nje Dr Slaa

Wakati wa kampeni mzee Lowassa anaongea ndani ya Kanisa kwamba 2015 ni zamu ya.dhehebu fulan lakini ulipofika uchaguzi akapigwa chini ma Mseminari shujaa Maguful

Je, Mbowe ni CCM kama anavyotuhumiwa Mbatia?
 
Mbowe ni mzee wa kitengo kama ilivyo kwa wenyeviti wenzake wa upinzani waliomtangulia. Ni jamii ya kina Mrema, Cheyo, Lipumba, Mbatia nk. Isipokuwa Mbowe kawazidi ujanja waliomtangulia, kwani yeye amefanikiwa kujiongeza kwa kutumia fedha za chama kama vile ruzuku kuunda kundi la chawa mitandaoni ili limpiganie kuficha ushiriki wake katika kitengo hicho.
 
Freeman Mbowe aligombea Urais wa JMT mwaka 2005 na kuambulia kura kiduchu

2010 akamshawishi kipenzi cha Wana Karatu Dr Slaa aachane na ubunge ili agombee Urais na yeye Mbowe akarudi Hai kugombea ubunge

2015 baada ya Dr Slaa kufanya kazi kubwa kiasi cha kukubalika na wananchi kwa 85% Mbowe akaenda CCM kumkodisha Lowassa na kumtupa nje Dr Slaa

Wakati wa kampeni mzee Lowassa anaongea ndani ya Kanisa kwamba 2015 ni zamu ya.dhehebu fulan lakini ulipofika uchaguzi akapigwa chini ma Mseminari shujaa Maguful

Je, Mbowe ni CCM kama anavyotuhumiwa Mbatia?
Kwani alimzuia kugombea ubunge 2015?
 
Freeman Mbowe aligombea Urais wa JMT mwaka 2005 na kuambulia kura kiduchu

2010 akamshawishi kipenzi cha Wana Karatu Dr Slaa aachane na ubunge ili agombee Urais na yeye Mbowe akarudi Hai kugombea ubunge

2015 baada ya Dr Slaa kufanya kazi kubwa kiasi cha kukubalika na wananchi kwa 85% Mbowe akaenda CCM kumkodisha Lowassa na kumtupa nje Dr Slaa

Wakati wa kampeni mzee Lowassa anaongea ndani ya Kanisa kwamba 2015 ni zamu ya.dhehebu fulan lakini ulipofika uchaguzi akapigwa chini ma Mseminari shujaa Maguful

Je, Mbowe ni CCM kama anavyotuhumiwa Mbatia?
Kwanini nyie CCM msimpe agombee 2025?
 
Freeman Mbowe aligombea Urais wa JMT mwaka 2005 na kuambulia kura kiduchu

2010 akamshawishi kipenzi cha Wana Karatu Dr Slaa aachane na ubunge ili agombee Urais na yeye Mbowe akarudi Hai kugombea ubung...

Swali lako ni la kichokozi tu?.

1. Wakati Mbowe anatumiwa Sahbaya akamshughulikie Hai, mpaka kuunda kundi la kuzomea mikutano ya Mbowe, mbona hukuuliza Kama ni CCM.?.

2. Wakati Mbowe amevamiwa na Byakanwa Mkuu wa Wilaya kabla ya Sabaya, na kuharibu shamba lake mbona hukuuliza Kama ni CCM?. Na kitendo Cha Byakanwa kuharibu shamba la Mbowe kikapelekea kupewa ukuu wa Mkoa Mtwara.

3. Wakati Mbowe anabomolewa Bilcanas yake na serikali mbona hukuuliza Kama ni CCM ?.

4. Wakati Mbowe anafukuzwa kwenye Jengo la NHC mbona hukuuliza Kama sio mwana CCM.?

5. Wakati Mbowe anafunguliwa kesi ya ugaidi na Rais kuongea hadharani kuwa alikimbia nchi kwa kuogopa kukamatwa. Na Wana CCM wote kugeuka na kuanza kumwita gaidi, kipindi hicho hakuwa Mwana CCM.?

Tuache maswali yasiyokuwa na mantiki baadala ya kuangalia uhalisia. Mbowe angekuwa CCM leo usingeuliza hilo swali lako maana ingekuwa wazi kabisa lakini kwa sababu sio CCM umeamua kuuliza hili swali.
 
Swali lako ni la kichokozi tu?.

1. Wakati Mbowe anatumiwa Sahbaya akamshughulikie Hai, mpaka kuunda kundi la kuzomea mikutano ya Mbowe, mbona hukuuliza Kama ni CCM.?.

2. Wakati Mbowe amevamiwa na Byakanwa Mkuu wa Wilaya kabla ya Sabaya, na kuharibu shamba lake mbona hukuuliza Kama ni CCM?. Na kitendo Cha Byakanwa kuharibu shamba la Mbowe kikapelekea kupewa ukuu wa Mkoa Mtwara.

3. Wakati Mbowe anabomolewa Bilcanas yake na serikali mbona hukuuliza Kama ni CCM ?.

4. Wakati Mbowe anafukuzwa kwenye Jengo la NHC mbona hukuuliza Kama sio mwana CCM.?

5. Wakati Mbowe anafunguliwa kesi ya ugaidi na Rais kuongea hadharani kuwa alikimbia nchi kwa kuogopa kukamatwa. Na Wana CCM wote kugeuka na kuanza kumwita gaidi, kipindi hicho hakuwa Mwana CCM.?

Tuache maswali yasiyokuwa na mantiki baadala ya kuangalia uhalisia. Mbowe angekuwa CCM leo usingeuliza hilo swali lako maana ingekuwa wazi kabisa lakini kwa sababu sio CCM umeamua kuuliza hili swali.
Nchi inaweza kumuua mwananchi ili ilinde usalama wa wananchi ajabu nini?
 
Freeman Mbowe aligombea Urais wa JMT mwaka 2005 na kuambulia kura kiduchu

2010 akamshawishi kipenzi cha Wana Karatu Dr Slaa aachane na ubunge ili agombee Urais na yeye Mbowe akarudi Hai kugombea ubunge

2015 baada ya Dr Slaa kufanya kazi kubwa kiasi cha kukubalika na wananchi kwa 85% Mbowe akaenda CCM kumkodisha Lowassa na kumtupa nje Dr Slaa

Wakati wa kampeni mzee Lowassa anaongea ndani ya Kanisa kwamba 2015 ni zamu ya.dhehebu fulan lakini ulipofika uchaguzi akapigwa chini ma Mseminari shujaa Maguful

Je, Mbowe ni CCM kama anavyotuhumiwa Mbatia?

Huyo Slaa mnayempamba alishindwa kuhimili nguvu ya Lowassa. Hata Karatu walimtosa na kuendelea kuiamini CHADEMA mwaka 2015. Hata Magufuli bila influence ya System asingetoboa. Maana alipata asilimia 57 tu. Ndio maana 2020 akaamua kuharibu uchaguzi.
 
Nchi inaweza kumuua mwananchi ili ilinde usalama wa wananchi ajabu nini?

Halafu tofautisha dola na nchi. Nchi haiwezi kuua mtu Kama unavyofikiri. Halafu kwanini uuwe mtu wakati mahakama zipo?

Kwa hivyo majambazi wanaoua watu na kuwavamia usiku ni watakatifu Sana kuliko wanasiasa wa upinzani?
 
Mbowe ni mzee wa kitengo kama ilivyo kwa wenyeviti wenzake wa upinzani waliomtangulia. Ni jamii ya kina Mrema, Cheyo, Lipumba, Mbatia nk. Isipokuwa Mbowe kawazidi ujanja waliomtangulia, kwani yeye amefanikiwa kujiongeza kwa kutumia fedha za chama kama vile ruzuku kuunda kundi la chawa mitandaoni ili limpiganie kuficha ushiriki wake katika kitengo hicho.

Propaganda zenu tulishazichoka. Kila mtu Tanzania ni kitengo hakuna mtu asiye kitengo. Kawadanganye wengine.

Leo mnamwita kitengo lakini Jana kwenye kesi yake mlimwita gaidi.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom