johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,533
Freeman Mbowe aligombea Urais wa JMT mwaka 2005 na kuambulia kura kiduchu
2010 akamshawishi kipenzi cha Wana Karatu Dr Slaa aachane na ubunge ili agombee Urais na yeye Mbowe akarudi Hai kugombea ubunge
2015 baada ya Dkt. Slaa kufanya kazi kubwa kiasi cha kukubalika na wananchi kwa 85% Mbowe akaenda CCM kumkodisha Lowassa na kumtupa nje Dr Slaa
Wakati wa kampeni mzee Lowassa anaongea ndani ya Kanisa kwamba 2015 ni zamu ya.dhehebu fulan lakini ulipofika uchaguzi akapigwa chini ma Mseminari shujaa Maguful
Je, Mbowe ni CCM kama anavyotuhumiwa Mbatia?
2010 akamshawishi kipenzi cha Wana Karatu Dr Slaa aachane na ubunge ili agombee Urais na yeye Mbowe akarudi Hai kugombea ubunge
2015 baada ya Dkt. Slaa kufanya kazi kubwa kiasi cha kukubalika na wananchi kwa 85% Mbowe akaenda CCM kumkodisha Lowassa na kumtupa nje Dr Slaa
Wakati wa kampeni mzee Lowassa anaongea ndani ya Kanisa kwamba 2015 ni zamu ya.dhehebu fulan lakini ulipofika uchaguzi akapigwa chini ma Mseminari shujaa Maguful
Je, Mbowe ni CCM kama anavyotuhumiwa Mbatia?