Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Wadau, katika hali ya kuonesha kuwa CHADEMA wamedhamiria kumtetea Kagame na Rwanda, Kiongozi wa Kambi ya Upinzani, Freeman Mbowe amesema kuwa alichowasilisha Ezekiel Wenje ni msimamo wa Kambi ya Upinzani.
Tahadhari, Ikiwa CHADEMA wameamua kushirikiana na Rwanda dhidi ya Tanzania, kuna haja ya kila Mtanzania kulaani huu uasi unaofanywa na CHADEMA na kuna haja pia ya vyombo vya dola kufuatilia kwa karibu nyenendo za viongozi wa CHADEMA
Tahadhari, Ikiwa CHADEMA wameamua kushirikiana na Rwanda dhidi ya Tanzania, kuna haja ya kila Mtanzania kulaani huu uasi unaofanywa na CHADEMA na kuna haja pia ya vyombo vya dola kufuatilia kwa karibu nyenendo za viongozi wa CHADEMA