nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
wanaoihujumu nchi yetu ni wale wanaolazimisha kuingiza nchi yetu kwenye uadui usio wa lazima na majirani zetu!hamna kinga kwa yeyote anayelihujumu taifa, katiba ya nchi yangu haisemi hivyo, labda katika ardhi inayoongozwa na genge la kihuni kama rwanda ulikokukimbia