Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Ni binadamu wachache sana wanaoweza kuunga dots na kupata what is what.
Dkt Mollel ambae alishawahi kuwa mmoja wa viongozi waandamizi wa CHADEMA alishawahi kudai kuwa CHADEMA inahusika na ugaidi. Na ndio ilipanga njama za mabomu ya Arusha ambayo yalijeruhi watu na kuua watu.
Leo hii Chairman Mbowe ana kosa ambalo kama atakutwa na hatia basi tutakuja kuunga dots kuwa Dk Mollel alikuwa mkweli.
My takes: Kama Mbowe akitiwa hatiani basi dots zitaunga.
Dkt Mollel ambae alishawahi kuwa mmoja wa viongozi waandamizi wa CHADEMA alishawahi kudai kuwa CHADEMA inahusika na ugaidi. Na ndio ilipanga njama za mabomu ya Arusha ambayo yalijeruhi watu na kuua watu.
Leo hii Chairman Mbowe ana kosa ambalo kama atakutwa na hatia basi tutakuja kuunga dots kuwa Dk Mollel alikuwa mkweli.
My takes: Kama Mbowe akitiwa hatiani basi dots zitaunga.