Kobe la Makobe
Senior Member
- Feb 3, 2024
- 129
- 141
Mama yako ndio alikuambia kuwa pesa hizo ni za kujengea ofisi?
Haijaniuma halafu sio yanguMillion 100 imekuuma kama Yako🐼
Acha upoyoyo ,alietoa hela ndio alisema itumike kwa ajili ya kujenga visima ila kwa kuwa wanaokukukuna wameguswa ndio maana bado umetaharukiMama yako ndio alikuambia kuwa pesa hizo ni za kujengea ofisi?
EndeleaWacha mbwembwe dogo.
AiseeeeEti mbowe ni Bilionaire ambae alikuwa anaishi nyumba ya wazazi hadi mwaka jana
Jifanye mjanja tu kumbe zoba wewe. R.I.P Sobodo. Hao wahindi wanazika kweli au wanachoma moto na kuzika majivu tu?Fala tu huyo, hanijui wala hatanijua. Mi nipo hapa kwa Mama yake ndio Baba yake.
Huyu mdosi alikuwa ni kada wa CCM lakini alikuwa anatoa michango yake hadharani bila woga Kwa CHADEMA kutokana na kile waluchokuwa wanafanya enzi zile za M4C.....aliwahi kuchangia 100 million achilia mbali hizi million kumi kumi.Lumber Kuna wadosi wanailea chadema sio!!?
Rip sabodo
Ila Samia amewadhulumu wazee waliokua wanafanya kazi EAC hasa wa bandarini,shame on youSabodo hakuwahi kudhulumu waandishi wa habari
Umekula maharage ya wapi?Sabodo hakuwahi kudhulumu waandishi wa habari
Kwani kosa kisheria?Kwanini azikwe usiku?
Ni utaratibu wao tu kama wengine wanavyozika mchana, asubuhi, jioni, alasiriKwanini azikwe usiku?