Napinga kwa nguvu zangu zote tabia hii chafu ya kutukana.unapaswa kujiuliza wewe umeifanyia nini tanzania sio kulalamika tu hapa km unavuliwa chupi.
mimi rais wa tano natoa onyo kali kwa wote wale wenye tabia km ya kwako.
ameondoa au ameongeza? We umeelewa nini hapo kuhusu gari? Hayo ya nyumba na posho, mlinzi sijui nini kama hadai kwa7bu za kiuchumi hapa anamwambia nani? Ameulizwa? Kwanini asielezee tu gari ambalo wapinzani wake hawaishi kumsema? Haya ndiyo yanayonifanya nichukie siasa za kibongo, unafiki unafiki sanaa!!
Join Date : 19th May 2012
Posts : 5
Rep Power : 307
Likes Received0
Likes Given11
Nikutaje mods waunganishe ban yako?
Wakuu Nawasalimu..Naandika haya nikiwa Mpenzi na Mkereketwa Mkubwa wa CDM..Nilishtuka kidogo kusikia kuwa Mwenyekiti wangu wa CDM,Mh Freeman Mbowe amekubali kuchukua gari alilowahi kulikataa na kulirudisha mwaka jana wakati wa Bunge lililopita.Binafsi nilifuatilia lile bunge na nilimuona jinsi alivyokuwa anaongea kwa Uchungu Mkubwa kuhusu matumizi ya serikali na yeye mwenyewe akalirudisha lile gari..Lakini Nimeshangazwa SANA na Habari niliyosikia kuwa Mh Mbowe amechukua gari lingine ilihali alilikataa na Kupinga kulitumia mwanzoni.Binafsi nikiwa kama Mwana CHADEMA Na Mwenye Matarajio Makubwa na Chama Changu,KAMA NI KWELI Mh Mbowe amefanya hili basi nafikiri atakuwa ametulet down wengi kwani Itakuwa ni Unafiki Mkubwa..NASEMA HAYA KWA UPENDO WA CHAMA CHANGU CHADEMA[/QUOTE]
Chadema hakuna vilaza kama wewe!......nenda urudi ukiwa umejipanga vizuri
Wakuu Nawasalimu..Naandika haya nikiwa Mpenzi na Mkereketwa Mkubwa wa CDM..Nilishtuka kidogo kusikia kuwa Mwenyekiti wangu wa CDM,Mh Freeman Mbowe amekubali kuchukua gari alilowahi kulikataa na kulirudisha mwaka jana wakati wa Bunge lililopita.Binafsi nilifuatilia lile bunge na nilimuona jinsi alivyokuwa anaongea kwa Uchungu Mkubwa kuhusu matumizi ya serikali na yeye mwenyewe akalirudisha lile gari..Lakini Nimeshangazwa SANA na Habari niliyosikia kuwa Mh Mbowe amechukua gari lingine ilihali alilikataa na Kupinga kulitumia mwanzoni.Binafsi nikiwa kama Mwana CHADEMA Na Mwenye Matarajio Makubwa na Chama Changu,KAMA NI KWELI Mh Mbowe amefanya hili basi nafikiri atakuwa ametulet down wengi kwani Itakuwa ni Unafiki Mkubwa..NASEMA HAYA KWA UPENDO WA CHAMA CHANGU CHADEMA
Wakuu Nawasalimu..Naandika haya nikiwa Mpenzi na Mkereketwa Mkubwa wa CDM..Nilishtuka kidogo kusikia kuwa Mwenyekiti wangu wa CDM,Mh Freeman Mbowe amekubali kuchukua gari alilowahi kulikataa na kulirudisha mwaka jana wakati wa Bunge lililopita.Binafsi nilifuatilia lile bunge na nilimuona jinsi alivyokuwa anaongea kwa Uchungu Mkubwa kuhusu matumizi ya serikali na yeye mwenyewe akalirudisha lile gari..Lakini Nimeshangazwa SANA na Habari niliyosikia kuwa Mh Mbowe amechukua gari lingine ilihali alilikataa na Kupinga kulitumia mwanzoni.Binafsi nikiwa kama Mwana CHADEMA Na Mwenye Matarajio Makubwa na Chama Changu,KAMA NI KWELI Mh Mbowe amefanya hili basi nafikiri atakuwa ametulet down wengi kwani Itakuwa ni Unafiki Mkubwa..NASEMA HAYA KWA UPENDO WA CHAMA CHANGU CHADEMA
Wakuu Nawasalimu..Naandika haya nikiwa Mpenzi na Mkereketwa Mkubwa wa CDM..Nilishtuka kidogo kusikia kuwa Mwenyekiti wangu wa CDM,Mh Freeman Mbowe amekubali kuchukua gari alilowahi kulikataa na kulirudisha mwaka jana wakati wa Bunge lililopita.Binafsi nilifuatilia lile bunge na nilimuona jinsi alivyokuwa anaongea kwa Uchungu Mkubwa kuhusu matumizi ya serikali na yeye mwenyewe akalirudisha lile gari..Lakini Nimeshangazwa SANA na Habari niliyosikia kuwa Mh Mbowe amechukua gari lingine ilihali alilikataa na Kupinga kulitumia mwanzoni.Binafsi nikiwa kama Mwana CHADEMA Na Mwenye Matarajio Makubwa na Chama Changu,KAMA NI KWELI Mh Mbowe amefanya hili basi nafikiri atakuwa ametulet down wengi kwani Itakuwa ni Unafiki Mkubwa..NASEMA HAYA KWA UPENDO WA CHAMA CHANGU CHADEMA