Hahahaaaaa! owwwwkey mh.mbunge,lakini mbona ulikumbuka kunusuru uchumi ukasahau kuinusuru ndoa yako ilhali hilo ndilo lilikua ndani ya uwezo wako zaidi??
Pamoja na majibu mazuri ya mh.mbunge,Nahitaji ufafanuzi zaidi kwenye eneo hilo.
Asante.
Hivi ni -------- gani anayeweza kuongelea mambo ya ndoa yke mitandaoni au kwenye vyombo vya habari? kwenu mmefundishwa hivyo? mwambie baba riz moko naye atwambie mamaye riz 1 yupo wapi na inshu ya vick kamata! watu walioishiwa hoja kama nyie maccm hucki kurukia na kuzusha vitu vya kipuuz huku wakiyafumbia matatizo makubwa yaikabiliyo jamii kama vile rushwa,ujangili,madawa ya kulevya,ufisadi,mauaji ya raia nk.