Magamba kazini.
Puzzled with the news that Dr Slaa was the first to go for lowassa and brought the idea to the CC !!
Mbowe ni genius! Kinachoendelea kwenye siasa za Tanzania, kinasaidia sana kumwonyesha Mbowe katika ubora wake, siyo ukabila lakini kuna wakati Wachaga wapewe sifa wanazo stahili. Mbowe anafahamu hesabu na anachanga karata zake na kuzicheza vizuri sana!
Sijui kwa wengine lakini, kusema kweli mimi naona urafiki wa Mbowe na EL siyo wa kudumu. Baada ya October 25, litajengwa 'tofali' jipya katika ujenzi wa democrasia ya vyama vingi Tanzania bila kujali itashinda UKAWA au CCM! Muungano wa UKAWA na EL, una nia moja tu kupunguza absolute power ya CCM na kama siyo CCM kufa basi iwekwe kwenye viwango sawa na vyama vingine.
Anyway u-genius wa Mbowe upo wapi? Ni kwenye 'usajili!' EL, 2015 kama Slaa mwaka 2010, ni 'mchezaji' mkali ambaye unaweza kumtumia sasa kubeba ubingwa wakati ukiendelea kukuza vipaji! Kuna fursa Mbowe ameiona, ambayo hata Slaa hakujua 2010 kwamba alikua 'usajili' wa msimu ule! Mbowe ni 'mtaalamu' hata ukimwita jina gani, au useme ameuza chama, kwa kazi ya mwenyekiti wa chama ni nini?! Uza chama, I mean, uza chama!! Wakati kuna watu vyama vinawadodea na kuwafia mikononi, Mbowe anauza chama.............chema chajiuza!
Hongera Mbowe, wacha EL akusogeze, kama siyo kukamata nchi mwaka huu, lakini mwendo huu, lazima utakua karibu! Mbowe amecheza, ni bonge la kocha, na Lazima tumpe pongezi zake!
Ndugu yangu Freeman Aikael Mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama wewe ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.
Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha CHADEMA.
Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.?
Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani, itikadi, na msimamo wa CHADEMA mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.
Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .
Mbowe ni genius! Kinachoendelea kwenye siasa za Tanzania, kinasaidia sana kumwonyesha Mbowe katika ubora wake, siyo ukabila lakini kuna wakati Wachaga wapewe sifa wanazo stahili. Mbowe anafahamu hesabu na anachanga karata zake na kuzicheza vizuri sana!
Sijui kwa wengine lakini, kusema kweli mimi naona urafiki wa Mbowe na EL siyo wa kudumu. Baada ya October 25, litajengwa 'tofali' jipya katika ujenzi wa democrasia ya vyama vingi Tanzania bila kujali itashinda UKAWA au CCM! Muungano wa UKAWA na EL, una nia moja tu kupunguza absolute power ya CCM na kama siyo CCM kufa basi iwekwe kwenye viwango sawa na vyama vingine.
Anyway u-genius wa Mbowe upo wapi? Ni kwenye 'usajili!' EL, 2015 kama Slaa mwaka 2010, ni 'mchezaji' mkali ambaye unaweza kumtumia sasa kubeba ubingwa wakati ukiendelea kukuza vipaji! Kuna fursa Mbowe ameiona, ambayo hata Slaa hakujua 2010 kwamba alikua 'usajili' wa msimu ule! Mbowe ni 'mtaalamu' hata ukimwita jina gani, au useme ameuza chama, kwa kazi ya mwenyekiti wa chama ni nini?! Uza chama, I mean, uza chama!! Wakati kuna watu vyama vinawadodea na kuwafia mikononi, Mbowe anauza chama.............chema chajiuza!
Hongera Mbowe, wacha EL akusogeze, kama siyo kukamata nchi mwaka huu, lakini mwendo huu, lazima utakua karibu! Mbowe amecheza, ni bonge la kocha, na Lazima tumpe pongezi zake!
Halafu watu hawaamini au wamefunga macho hawataki kuona kuwa wameuzwa!!
Slaa alikuwa ni mchezaji mzuri sio mcheza rafu!
Slaa alipendwa kwa kuwatetea watanzania dhidi ya mafisadi.huwezi mfananisha Slaa na Lowassa hata kidogo.
Ukitaka kujua Mbowe sio kitu hebu tazama kwa sasa chama kilivyoyumba.
Hofu yangu ni kwamba lowasa akishindwa hatakubali na vijana mtaumia sana. Haingii akilini jana lowasa ni fisadi papa na leo vijana wamesahau na wanamfuata kama mazuzu! Kama siyo pepo mchafu ni mini! Urafiki wa Mbowe na lowasa ni wa kimaslahi zaidi ndiyo msamiati wa kupiga vita ufisadi uliokuwa msingi wa kuipa nguvu iliyonayo chadema umatoweka mdomoni mwa Mbowe. Vijana mtayakumbuka maneno haya mkianza kuumia.
Hofu yangu ni kwamba lowasa akishindwa hatakubali na vijana mtaumia sana. Haingii akilini jana lowasa ni fisadi papa na leo vijana wamesahau na wanamfuata kama mazuzu! Kama siyo pepo mchafu ni mini! Urafiki wa Mbowe na lowasa ni wa kimaslahi zaidi ndiyo msamiati wa kupiga vita ufisadi uliokuwa msingi wa kuipa nguvu iliyonayo chadema umatoweka mdomoni mwa Mbowe. Vijana mtayakumbuka maneno haya mkianza kuumia.
Siyo kwamba wataumia tu bali hawataelewa kwanini wanaumia; wataona wameonewa. Wazee watazuia haya mafuriko uchwara na vijana watawakasirikia wazee... hawatajua kuwa miongoni mwao wapo vijana waliofunguka na kuelewa tishio la Lowassa kwa taifa.
Siyo kwamba wataumia tu bali hawataelewa kwanini wanaumia; wataona wameonewa. Wazee watazuia haya mafuriko uchwara na vijana watawakasirikia wazee... hawatajua kuwa miongoni mwao wapo vijana waliofunguka na kuelewa tishio la Lowassa kwa taifa.
Mbowe kashaanza kuwaandaa watu kisaikolojia baada ya kuona biashara yake imebuma. Jana amesikika akisema kuwa kura zao zitaibiwa na jeshi.
Haha Mkuu, sikuisikia hiyo! Kweli biashara yake imebuma! Hivi Jeshi leo ikose kazi ya kulinda mipaka iingie mitaani kukimbizana na masanduku ya kura?
Halafu watu hawaamini au wamefunga macho hawataki kuona kuwa wameuzwa!!