Ndugu yangu Freeman Aikael Mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama wewe ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.
Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha CHADEMA.
Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.?
Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani, itikadi, na msimamo wa CHADEMA mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.
Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .
Ndugu yangu Freeman Aikael Mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama wewe ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.
Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha CHADEMA.
Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.?
Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani, itikadi, na msimamo wa CHADEMA mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.
Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .
Ndugu yangu Freeman Aikael Mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama wewe ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.
Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha CHADEMA.
Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.?
Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani, itikadi, na msimamo wa CHADEMA mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.
Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .
Huyu DJ form six failure ni hustler kwa kweli. Na bado sasa. Wakibahatika kutinga Magogoni ndo itakuwa funika bovu. Naona atamiliki Dubai yote. Hebu kikombe hiki na kiipite nchi yangu!
Kwanini magazeti ya IPP MEDIA na HABARI CORPORATION wanashabikia kwa nguvu zote kampeni za Lowassa? Ukisha pata jibu la swali hili. Jiulize swali linguine tena, ni nani mumiliki wa IPP media na Habari Corporation? Ukisha pata jibu, atajua kabisa kwanini Mbowe mfanyabiashira anaejiita Mwanasiasa na mpigania haki za wanyonge aliiuza CHADEMA kwa Lowassa. Hawa wakikabiziwa nchi hawatakuwa tena wamiliki wa hisa bali matajiri na wafanyabiashara wakubwa wanao miliki makampuni ya mafuta na gesi na haitachukuwa muda mtaanza kuwaona akina Lowassa na Rostam kwenye orodha ya matajiri wakubwa wa dunia hii za forbes.
Ndugu yangu Freeman Aikael Mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama wewe ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.
Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha CHADEMA.
Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.?
Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani, itikadi, na msimamo wa CHADEMA mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.
Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .
Ndugu yangu Freeman Aikael Mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama wewe ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.
Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha CHADEMA.
Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.?
Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani, itikadi, na msimamo wa CHADEMA mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.
Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .
Tafuteni umbea mwingine, huu umeshachina!
Kuna mpango wa Mwenyekiti wa Chadema Mh.Freeman Mbowe wa kulipwa mamilioni ya fedha ili Viongozi wa Chadema waache kumsema Mr. Monduli kuwa ni fisadi.
Mh.Zitto Kabwe anajitahidi kwa kila hali kuzuia mpango huo
===========
Mmoja kati ya vigogo wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuhusika na vitendo vya ufisadi(jina tunalihifadhi kwa sasa) anadaiwa kuwa kwenye mazungumzo ya siri na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Freeman Mbowe ili kuingia ubia na chama hicho.
Wale viongozi wa Chadema na wakereketwa waliopo humu JF watuthibitishie hii habari kama ni kweli.
Hivi ikiwa kimeuzwa au hakija uzwa wewe unapata faida gani?
Hakuna faida kuna hasara!! si chako tena!