Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Acha mchezo na bilioni kumi

Bilioni imemponza sasa amekalia kuti kavu asubili limkatikie oct 25
magufuli yeye anaendelea na kampeni safi asubiri kumagufulishwa
At_1YZk0JhosSFusPrdF_XixOb-9Y6IUlpmHkfg3OUYn.jpg
 

Attachments

  • AkqM5cSfMS8BaFEAyUg8zACI6zYos7ATFLPA-M_nlKhF.jpg
    AkqM5cSfMS8BaFEAyUg8zACI6zYos7ATFLPA-M_nlKhF.jpg
    101.1 KB · Views: 118
Mabadiliko kama mabadiliko mengine tu. Miaka yoote tumewapigia kura hao waadilifu, wamefanya nini tofauti na Kupiga deals na kula bata? Sasa ni zamu ya fisadi ili tuje kutofautisha kati anayeingia ikulu na baiskeli na kutoka bilionea au bilionea anayeingia ikulu na kutoka na baiskeli? Mzee Mwanakijiji Acha ushabiki usiotuletea maslahi kwa wabongo, wewe upo ugaibuni miaka dahari kinachotokea huko wewe ni shahidi bila ku balance power mambo huwa hayaendi. Kama haujisahaulishi Wamarekani walitaka mabadiliko (change we need) pamoja na ubaguzi woote wa rangi walifanya maamuzi mgumu. Walisema watamchagua Obama ili wataalamu wao waje kuwa America is for all. Tatizo wengi wetu mnapokuwa nje huwa ya Tz huwa hatupendi kuiona nchi yetu I kipara Maendeleo na pengine hii inatokana na kufadhiliwa na Mafisiem. KURA YANGU NAMPA FISADI there is no way out. Tanzania ni yetu watanzania sio mali ya ccm.

Mkuu natumai uliisoma na kupitia ulichoandika kabla ya ku post.
Hivi mabadiliko ambayo Chadema ilidai inapigania na kuvuta pesa kutoka kwa wadhamini wa nje kama CDU ya Ujerumani ilikuwa kwa ajili ya kuweka fisadi Ikulu?
Do you hear what you are saying?
Kuhusu Obama ni uongo mtupu ulichoandika mnarudia mpaka mnadhani ni ukweli. Obama hakuchaguliwa kwa sababu ni mweusi but despite of being Black.
Finally watanzania si fanatics na msifikiri mnaweza kutupumbaza kumbe mna uchu ya madaraka. Tunajua mnataka kuingia madarakani ili mkwapue vizuri. Hii slogan yenu ya Mabadiliko ni danganya toto. It's not change but more of the same. Na dili mlianza kusuka tokea 2011. Evidence hii hapa!
 
Mabadiliko kama mabadiliko mengine tu. Miaka yoote tumewapigia kura hao waadilifu, wamefanya nini tofauti na Kupiga deals na kula bata? Sasa ni zamu ya fisadi ili tuje kutofautisha kati anayeingia ikulu na baiskeli na kutoka bilionea au bilionea anayeingia ikulu na kutoka na baiskeli? Mzee Mwanakijiji Acha ushabiki usiotuletea maslahi kwa wabongo, wewe upo ugaibuni miaka dahari kinachotokea huko wewe ni shahidi bila ku balance power mambo huwa hayaendi. Kama haujisahaulishi Wamarekani walitaka mabadiliko (change we need) pamoja na ubaguzi woote wa rangi walifanya maamuzi mgumu. Walisema watamchagua Obama ili wataalamu wao waje kuwa America is for all. Tatizo wengi wetu mnapokuwa nje huwa ya Tz huwa hatupendi kuiona nchi yetu I kipara Maendeleo na pengine hii inatokana na kufadhiliwa na Mafisiem. KURA YANGU NAMPA FISADI there is no way out. Tanzania ni yetu watanzania sio mali ya ccm.

Kwani MTU akiudhika ruksa kuchoma nyumba yake moto? Obama naye alikatwa?
 
Kwani MTU akiudhika ruksa kuchoma nyumba yake moto? Obama naye alikatwa?

Wazungu wanasema "You are mixing oranges with apples" sasa Obama na Lowassa wapi na wapi?
Hizi ni hadithi walizopanga tokea awali akina Mbowe na Lowassa kwa msaada wa propagandist wao. Lakini haina mashiko!
 
Mkuu natumai uliisoma na kupitia ulichoandika kabla ya ku post.
Hivi mabadiliko ambayo Chadema ilidai inapigania na kuvuta pesa kutoka kwa wadhamini wa nje kama CDU ya Ujerumani ilikuwa kwa ajili ya kuweka fisadi Ikulu?
Do you hear what you are saying?
Kuhusu Obama ni uongo mtupu ulichoandika mnarudia mpaka mnadhani ni ukweli. Obama hakuchaguliwa kwa sababu ni mweusi but despite of being Black.
Finally watanzania si fanatics na msifikiri mnaweza kutupumbaza kumbe mna uchu ya madaraka. Tunajua mnataka kuingia madarakani ili mkwapue vizuri. Hii slogan yenu ya Mabadiliko ni danganya toto. It's not change but more of the same. Na dili mlianza kusuka tokea 2011. Evidence hii hapa!

Mkuu hawaingi hata kwa njia yoyote,haiwezekani na wenye nchi wamehapa nchi hii jizi mafisadi kamwe hataingia ikulu,
 
Mabadiliko kama mabadiliko mengine tu. Miaka yoote tumewapigia kura hao waadilifu, wamefanya nini tofauti na Kupiga deals na kula bata? Sasa ni zamu ya fisadi ili tuje kutofautisha kati anayeingia ikulu na baiskeli na kutoka bilionea au bilionea anayeingia ikulu na kutoka na baiskeli? Mzee Mwanakijiji Acha ushabiki usiotuletea maslahi kwa wabongo, wewe upo ugaibuni miaka dahari kinachotokea huko wewe ni shahidi bila ku balance power mambo huwa hayaendi. Kama haujisahaulishi Wamarekani walitaka mabadiliko (change we need) pamoja na ubaguzi woote wa rangi walifanya maamuzi mgumu. Walisema watamchagua Obama ili wataalamu wao waje kuwa America is for all. Tatizo wengi wetu mnapokuwa nje huwa ya Tz huwa hatupendi kuiona nchi yetu I kipara Maendeleo na pengine hii inatokana na kufadhiliwa na Mafisiem. KURA YANGU NAMPA FISADI there is no way out. Tanzania ni yetu watanzania sio mali ya ccm.

Unaumwa akili kama lowasa ndo maana anajinyea ushirikiano wa akili YAKE na mwili wake haviusiani,viva magufuli,
 
Haha Mkuu, sikuisikia hiyo! Kweli biashara yake imebuma! Hivi Jeshi leo ikose kazi ya kulinda mipaka iingie mitaani kukimbizana na masanduku ya kura?

Anafikiri unaweza kuwa na migogoro na jeshi then ukawa rais?wampime akili anapoteza muda,
 
Mbowe atwambie vikundi walivyovianda Kenya kuja kufanya vurugu wakipitia Kilimanjaro na msoma kuingia wanalenga nini,
 
Mbowe aliona slaa PhD YAKE ni ya bure na kumuona lowasa ambaye hata pg moja ya hotuba YAKE hawezi kuiweka kichwani,kweli mbowe ni ziro ya six
 
Mbowe aliona slaa PhD YAKE ni ya bure na kumuona lowasa ambaye hata pg moja ya hotuba YAKE hawezi kuiweka kichwani,kweli mbowe ni ziro ya six

Mura,

hivi unajua wewe Ni mseng.e Tu kama maboya wengine...

kama CCM mmekula kodi zetu over 50 years,Kuna tatizo gani ukawa nao wakala kwa miaka mitano...

halafu nataka uniambie nani Ana uchu wa madaraka Kati ya yule aliyeko madarakani over 50 years na bado anataka zaidi...au yule ambaye hajawahi kuwa na hayo madaraka hata kwa sekunde moja...nani Ana uchu wa madaraka hapo...
 
Mura,

hivi unajua wewe Ni mseng.e Tu kama maboya wengine...

kama CCM mmekula kodi zetu over 50 years,Kuna tatizo gani ukawa nao wakala kwa miaka mitano...

halafu nataka uniambie nani Ana uchu wa madaraka Kati ya yule aliyeko madarakani over 50 years na bado anataka zaidi...au yule ambaye hajawahi kuwa na hayo madaraka hata kwa sekunde moja...nani Ana uchu wa madaraka hapo...

wewe ndiyo mpumbavu na mjinga mkubwa CCM haina miaka 50 bali ina miaka 38 mpaka sasa, na kwa kodi gani wewe uliotoa mpaka useme umeliwa kodi yako kama sio wewe ndiyo umekula pesa ya serikali bure na hakuna unachozalisha bali unashinda kwenye mitandano kutukana watu kuku wa kisasa wewe
 
Nasisi washabiki na wanachama tumeuzwa pia ulitusahau katika bango lako.

Ndiyo maana yake! Tokea 2011 anawaandamanisha mpaka baadhi kupoteza uhai kumbe Mbowe anapiga dili nyuma ya pazia!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom