Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 891
mahaba..
Uzuri katika uzi huu umekutana na vichwa hatuna mihemko. Kasome kwanza uzi ulianza lini . Mwaka 2011. Tunajua Lowassa na genge lake akina Rostam wana pesa so kutengeneza nyomi katika nchi maskini si ishu. Mnachotakiwa kuelewa kama wewe ni mwanachadema halisi na asili ni kuwa chama chenu kiliuzwa tokea 2011.
Sasa kamtafute Molemo na akina Ben Saanane waje huku kukanusha habari hii. Maana wanaukimbia, mnaingia nyie msiojitambua!