Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

Nyie ngojeni tu; wakishashindwa ile Oktoba 25, makala hii hapa itatumika kuleta vurugu CDM hadi watu hawa hawa ambao leo wanamshabikia Lowassa watageuka na kusema "ooh alinunua chama chetu"! Leo wako kimya kwa sababu wanafikiria watapata madaraka; wakikosa ndio yatakuwa yale yale ya wale watu wazima wanapokuja na kusema "ooh nilishinikizwa kuhama chama!"
 
Upepo wa mabadiliko ndio unaofunika yote haya...uchaguzi ukiisha ndio tutatambuana ndani ya chama

Naambiwa na huko NCCR wamemsubiri kwa hamu Mbatia kwa kula mgao wa mamvi kutoka kwa Mbowe.
 
Episode mpya ya hii series itaanza baada ya oct 25. Akishinda utaibuka mgogoro wa kugombea madaraka. Akishindwa utaibuka mgogoro wa kugombea kambi 'rasmi' ya upinzani na kudai mgao wa mauzo ya chama, mamvi atarudi alikotokea atawaacha wanatoana ngeu huko.
 
Episode mpya ya hii series itaanza baada ya oct 25. Akishinda utaibuka mgogoro wa kugombea madaraka. Akishindwa utaibuka mgogoro wa kugombea kambi 'rasmi' ya upinzani na kudai mgao wa mauzo ya chama, mamvi atarudi alikotokea atawaacha wanatoana ngeu huko.

Hata Sumaye atarudi alikotoka. Wajinga ndo waliwao!
 
Kama kakiuza na aliyekinunua kuna maslai tatizo liko wapi.. nyie mi ccm si ndo mmetufundisha uwekezaji ..sasa lowasa ni muekezaji shida iko wapi...

Kama huna cha kuongea ni heri ukakaa kimya
 
11995587_597810500359715_1566263730_n.jpg

ccm imara na rais wetu imara.chagua magufuli kwa mabadiliko bora ya nchi yetu tanzania
 
Episode mpya ya hii series itaanza baada ya oct 25. Akishinda utaibuka mgogoro wa kugombea madaraka. Akishindwa utaibuka mgogoro wa kugombea kambi 'rasmi' ya upinzani na kudai mgao wa mauzo ya chama, mamvi atarudi alikotokea atawaacha wanatoana ngeu huko.

hahaha hao hata dora bado hawajaishika washaanza migogoro je wangeshika si tungekoma watanzania bora tumeshtuka mapema tunaichagua ccm yetu tu
20150921041424.jpg
 
Mbowe kataharuki sana na matokeo ya utafiti lakini hiyo ndio adhabu ya kuiza chadema

Wafanye ya kwao lakini kiukweli sidhani kama wataweza to stop the bleeding. Watu wenye akili zao wameshajua kuwa mwaka huu upinzani hawawapi kura za urais.
 
Ndugu yangu Freeman Aikael Mbowe nakuuliza seal hili ili nipate kujua kama wewe ni mwanasiasa au ni mwanasiabiashara kwa maana napata shaka hasa kichwani mwako unalitakia nin taifa hili.

Hii tabia yako ya kuuza uza nadhani ingeishia pale billcanas kwenye kuuza pombe tu na sio chama cha CHADEMA.

Hao wafanyabiashara watano tunaomba utuelezee watazirudishaje fedha zao kama sio kuwaumiza watanzania kwa mikataba uchwara.?

Unaonekana una tamaa ,uroho wa madaraka na fedha kiasi kwamba umekua mrahisi wa kuvunja imani, itikadi, na msimamo wa CHADEMA mbele ya pesa za mafisadi uliotumia miaka 8 kuwachafua.

Wewe ni mtu namna gani haufai kua kiongozi wa watu hata kidogo .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom