Ni lipi la MSINGI limeongelewa? Sijaona lolote!
Denaro el pesoNi lipi la MSINGI limeongelewa? Sijaona lolote!
Denaro el peso
Naona wanachana wa CDM asilia wameanza kuzinduka. Ndo wajue jasho na damu yao kwa Mbowe ni sawa na pesa. Ina bei! Tunasubiri mengine mengi yaje yadhihirike!
Hakuna kitu kigeni atakacho ongea Dr Slaa. Kama ni ufisadi mpaka kwenye kanga za wamama zimeandikwa, kama ni habari ya Mbowe kupokea fedha toka kwa Lowassa hizo ni habari za uongo. Hakuna sheria ya kutumikia chama kimoja na ufie hapo. Slaa katumikia chama kwa kipindi chake tunashukuru sasa wengine wanachukua nafasi ya kuendeleza gurudumu. Kumbuka lengo ni moja na watu ni tofauti.
hizo ni mbinu tu za vita dhidi ya chadema!, maandamano yalitisha sana yale ati!, hizo habari ni za kizushi tu!
Leo hii eti wanamtukana babu wa watu...kisa anathamini utu kuliko pesa. Mbowe nae tumkate tu...hatuna mpango nae kabisa sie. october watalia wengi jamani...wanaamini na wasioamini. CCM yetu machoooooooooo
kununuliwa sio ishu eti, machangudoa wananunuliwa kila siku but deep down wana princilpe zao za life that clients will never break, ila sasa suala linakuja misingi uliosimamia tangu uanze unachofanya je imekiukwa?
with chadema babu slaa katufumbua macho na ya kwamba lisemwalo lipo kama halipo linakuja....hii article ni ya kitambo sana but look now...mpo wapy wana chadema asilia jikomboeni jamani
kununuliwa sio ishu eti, machangudoa wananunuliwa kila siku but deep down wana princilpe zao za life that clients will never break, ila sasa suala linakuja misingi uliosimamia tangu uanze unachofanya je imekiukwa?
with chadema babu slaa katufumbua macho na ya kwamba lisemwalo lipo kama halipo linakuja....hii article ni ya kitambo sana but look now...mpo wapy wana chadema asilia jikomboeni jamani
Naona wanachana wa CDM asilia wameanza kuzinduka. Ndo wajue jasho na damu yao kwa Mbowe ni sawa na pesa. Ina bei! Tunasubiri mengine mengi yaje yadhihirike!
mwandishi wenu wa gazeti gani? na mpaka mbowe aweke ngumu eti waandikishane hiyo serikali ya umoja wa kitaifa itakuwa ya chadema na ccm tu? au ccm+cuf+cdm+nccr?
chadema wana malengo yao makini hata iweje 2015 wanashika dora. Huo ni mpango ndani ya makundi ya ccm kumchafua EL ili wamweke mtu wao na hata hvyo hawataweza kamwe..! Kwani 2015 ni cdm tu.