funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
mm ninawaomba wenye chama wajibu akina mtei na mbowe nyinyi vikaragosi kaeni pembeni
Watakwambia wenye ushahidi wapeleke mahakamani
mm ninawaomba wenye chama wajibu akina mtei na mbowe nyinyi vikaragosi kaeni pembeni
Hili halihitaji kukanusha, wananchi wenyewe tumeshakanusha. Vitu vingine havina ulazima wa kukanushwa, vinajikanusha vyenyewe.
Kukanushakanusha kila unalotuhumiwa ni kujipunguzia heshima mbele ya wananchi.
Hivi unajua Lowassa angekuwa mropokaji asingekuwa mvuto aliyonao?
kikubwa mabadiliko maswala yakuuziana wambie TRA kodi wamepewa?
Mabadiliko kuelekea kuwa nchi rasmi ya mafisadi
Naona baada ya Sumaye sasa Mungai kajiunga. Taratibu sura ya CDM inapotea..
CCM B ndio ukawa
Sijui Dr Slaa ataongea nini kesho lakini kama ni Dr Slaa ninayemjua basi Mbowe atakuwa anahaha sana!
Chadema Ni Chama Kikubwa Sana Tukisema Tuwe Tunajibu Kila Upuuzi Unaonezwa Hum Tunajishushia Heshma Kwa Mwenye Akili Anang'amua Mwenyewe