georgemwaipungu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,779
- 589
Ukiongea ukweli NYUMBU wanakasirika
Ukweli si kuwakumbatia akina chenge
Ukiongea ukweli NYUMBU wanakasirika
Ukiongea ukweli NYUMBU wanakasirika
Magufuli kalitia hasara taifa hamsemi kabisa hizo siyo pesa za umma?
hizo ni mbinu tu za vita dhidi ya chadema!, maandamano yalitisha sana yale ati!, hizo habari ni za kizushi tu!
Ukweli si kuwakumbatia akina chenge
sio vita zidi ya chadema bali ni vita zidi ya mafisadi (mamvi,sumaye) wanaotaka kuleta maigizo kwenye taifa letu
View attachment 280476
Hebu tuambie hasara ipi!
Tatizo humu hatujuani nyuma kuna nani. Kwa kifupi tumepigana sana dhidi ya mafisadi ikiwa ni pamoja na hao uliowataja na hatujaanza na Tegeta Escrow. Tulikuwepo Buzwagi, EPA nk. Usifikiri tumezuka tu au tunaongea. Tupo humu na utatujua ukifuatilia posts zetu za huko nyuma. Wengine tumepigana katika hadhira siyo nyuma ya keyboard tu. Hivyo usitake kujifanya una uchungu na hii nchi zaidi yetu.
Narudia Mbowe na wapambe wake wamekiuza chama. Na wengine hatukuamini huko nyuma ingawa dalili zilikuwepo lakini leo imedhihirika. Narudia mwaka 2010 hatukupigia kura mafisadi na mwaka huu katika majimbo yetu na kwa ticket ya urais hatupigii kura mafisadi hususan fisadi papa Lowassa.
Lakini kwa kifupi umejipambanua na kukiri kuwa mmeuzwa na huna tatizo nalo. Mjadala unaendelea kwetu sisi tuliokataa kununuliwa.
Tatizo la hawa wasafishaji hawana weledi.
Ni vitoto vya form four vikicheza na tecno.
Ni fursa yao kuchagua kwa mara ya kwanza na wamekutana na mihemuko kama ya 1995.
Hawaelewi na wala hawafuatilii wachangiaji walioanza na jukwaa na trend au misimamo yao zamani na sasa juu ya EL.
Hata kina Tumaini Makene wanashindwa kulielezea hili seuse hawa kizazi cha tecno?
Acheni propaganda zisizokuwa na mashiko. Nasikia pia kuna watu wanalipwa humu ili cku nzima wakae kwenye mitandao humu ku-destabilize UKAWA. Nyie mnashindwa kuelewa hapa swala si UKAWA, ni watawala wameshindwa kuleta utawala unaohusu watu badala yake tz tumekuwa sasa na utawala wa vipandepande. Kuna sisi huku na wale kule. Sisi huku malofa na wale kule wenyewe... Hata ukisema vibaya UKAWA kiwango gani au hata kama upinzani hawapo bado utawala mtapata shida tu. Kumbuka ' A good leader is the one who make people go together' ikipotea hyo utaanza kutafuta mchawi, mara ;Oh.. niwazuie wasifanya uzinduzi,oh wsitumie helcopiter mara nk. Historia inaonyesha yote hayo huongeza chuki na mwisho utawala huondolewa. Nchi isiyokuwa ya kijeshi haiwezi kuendeshwa kwa nguvu za dola, ni lazima kauli za kutenga watu zisitumike na hasa kutoka watawala, ionekana kama ni demokrasia mtu kuhama, kutoa mawazo, kudai haki na mengineyo, tusije kuwa na ari ya kukomoana na hasa inapotoka kwa wenye dhamana ya kuongoza...tusijenge CHUKIIII.... Na HASA WAKATI HUU. Poleni watanzania.
Na wewe uza ulivyonavyo kwa lowasa Kama Una wivu