funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Dah! Ndo ukweli. Mzee wa watu nadhani haamini kabisa kuwa katoswa hivi. Huyu Mbowe ni hatari sana. Ila ni mfanyabiashara mzuri sana kwa kweli. Kaanza negotiations zamaniii so nina uhakika dau lake lilikuwa safi 2015 alipo-seal the deal !
Deal lilikamilika 2012 nadhani Slaa alielezwa labda alikuwa anajaribu kutafuta njia ya kumsafisha.
Pengine masharti ya Slaa yalikuwa magumu lakini yangeweza kupunguza ukakasi lakini nadhani EL aliyagomea kwa kutegemea CCM inaweza kumpitisha...imagine mpaka kwenye kutangaza nia EL anaisifia sana serikali ya JK.