Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 600
"Mkwe" wa mwenye chama ameharibu na kuua upinzani bila washabiki (sio wanachama) wa upinzani kujua. Wanachama wa vyama vya upinzani wamelijua hili mapema na ndi maana wameamua kukaa kimya.
"Mkwe" yupo kibiashara zaidi hasa ukizingatia sasa hivi disco lake halimuingizii pesa ki hivyo, familia yake imemshinda hadi ameachana na mkewe kabaki na watoto, huku yeye akitakiwa kulipa karibu 10m kila mwezi kama matumizi, unategemea hela za kumtunza mkewe anapata wapi kama asipofanya biashara kwenye siasa ambapo anayo fursa? Tunahitaji upinzani wa kweli ili tuingie ikulu, sio tuwaingize ikulu wachumia matumbo, hao ndio wataliua kabisa hili taifa na kuliingiza matatani.
Ninachoona ni kuwa October 27 matokeo yakitangazwa, na kuwa declared kuwa mamvi ameshindwa, mamvi atatangaza kuhama chama, maana "mkwe" hatokubali kumkabidhi uenyekiti mamvi, na hapo ndipo waropokaji humu ndani wote watakapomkumbuka "Padri" na kumwomba aje ajenge chama, maana he is the only one left ambaye anaamiwiwa na wanachama (sio washabiki).
Poleni wenye chama chenu ambacho kimeuzwa na "mkwe"
"Mkwe" yupo kibiashara zaidi hasa ukizingatia sasa hivi disco lake halimuingizii pesa ki hivyo, familia yake imemshinda hadi ameachana na mkewe kabaki na watoto, huku yeye akitakiwa kulipa karibu 10m kila mwezi kama matumizi, unategemea hela za kumtunza mkewe anapata wapi kama asipofanya biashara kwenye siasa ambapo anayo fursa? Tunahitaji upinzani wa kweli ili tuingie ikulu, sio tuwaingize ikulu wachumia matumbo, hao ndio wataliua kabisa hili taifa na kuliingiza matatani.
Ninachoona ni kuwa October 27 matokeo yakitangazwa, na kuwa declared kuwa mamvi ameshindwa, mamvi atatangaza kuhama chama, maana "mkwe" hatokubali kumkabidhi uenyekiti mamvi, na hapo ndipo waropokaji humu ndani wote watakapomkumbuka "Padri" na kumwomba aje ajenge chama, maana he is the only one left ambaye anaamiwiwa na wanachama (sio washabiki).
Poleni wenye chama chenu ambacho kimeuzwa na "mkwe"