Girlgonegreen
Member
- Aug 19, 2015
- 49
- 20
Kumbe hili deal lilianza kusukwa kitambo!
Biashara asubuh eti...jioni mahesabu. Chezea mboweeee.
Kumbe hili deal lilianza kusukwa kitambo!
Uzushi kwa watu kama nyie msio na haiba wala weledi hivi kusoma hujui hata picha tu huoni hivi inawezekana vio mtu uliekua unamtangaza tanzania nzima kwa wananchi ukimuita fisadi papa tena hafai leo hii unaaminishwa tena kwa siku moja eti ni msafi ila mfumo heeeee mmepotea sana chama pekee cha kushukuriwa ni CCM hakina tabu yani mwendo wa magufuli hauzuiliki HapakaziTU
Mkuu nickname, kwanza asante kwa hii kitu!, yaani ilipanda humu toka 31st March 2011 16:54, sijui mimi ilinipitia wapi?!Kuna mpango wa Mwenyekiti wa Chadema Mh.Freeman Mbowe wa kulipwa mamilioni ya fedha ili Viongozi wa Chadema waache kumsema Mr. Monduli kuwa ni fisadi.
My Take:
Wale viongozi wa Chadema na wakereketwa waliopo humu JF watuthibitishie hii habari kama ni kweli.
Ukweli Daima UNAUMA ila lazima tuongee Ukweli.... #HapaKaziTu #Magufuli2015Hivi huna kazi za kufanya zaidi ya kuandika upu..pu tu humu?
Mbona ni km kichwani mwako umejaza uharo tu unatuchafulia hali ya hewa hapa...!
Ukweli Daima UNAUMA ila lazima tuongee Ukweli.... #HapaKaziTu #Magufuli2015
Hatimaye yametimia mbaya zaidi Mbowe kakiri mazungumzo na Lowasa hayakuanza karibuni bali ya muda mrefu.
mefurahi sana kuona thread ya kitambo kama hii ikiwa "future oriented" yaani yote yametimia, kweli nimeamini lisemwalo lipo na km halipo linajongea
Habari ya 2011 imegeula ukweli mtupu