Mbowe aiuza CHADEMA kwa Lowassa

"Mkwe" wa mwenye chama ameharibu na kuua upinzani bila washabiki (sio wanachama) wa upinzani kujua. Wanachama wa vyama vya upinzani wamelijua hili mapema na ndi maana wameamua kukaa kimya.

"Mkwe" yupo kibiashara zaidi hasa ukizingatia sasa hivi disco lake halimuingizii pesa ki hivyo, familia yake imemshinda hadi ameachana na mkewe kabaki na watoto, huku yeye akitakiwa kulipa karibu 10m kila mwezi kama matumizi, unategemea hela za kumtunza mkewe anapata wapi kama asipofanya biashara kwenye siasa ambapo anayo fursa? Tunahitaji upinzani wa kweli ili tuingie ikulu, sio tuwaingize ikulu wachumia matumbo, hao ndio wataliua kabisa hili taifa na kuliingiza matatani.

Ninachoona ni kuwa October 27 matokeo yakitangazwa, na kuwa declared kuwa mamvi ameshindwa, mamvi atatangaza kuhama chama, maana "mkwe" hatokubali kumkabidhi uenyekiti mamvi, na hapo ndipo waropokaji humu ndani wote watakapomkumbuka "Padri" na kumwomba aje ajenge chama, maana he is the only one left ambaye anaamiwiwa na wanachama (sio washabiki).

Poleni wenye chama chenu ambacho kimeuzwa na "mkwe"
 
Uzushi kwa watu kama nyie msio na haiba wala weledi hivi kusoma hujui hata picha tu huoni hivi inawezekana vio mtu uliekua unamtangaza tanzania nzima kwa wananchi ukimuita fisadi papa tena hafai leo hii unaaminishwa tena kwa siku moja eti ni msafi ila mfumo heeeee mmepotea sana chama pekee cha kushukuriwa ni CCM hakina tabu yani mwendo wa magufuli hauzuiliki HapakaziTU

Maandamano CHADEMA jadi yenu...tutawaacha mtusindikize IKULU kwa maandamano pia, taratiiiiiibu. #CCM #Hapakazitu maandamano ukawa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu zemarcopolo. Naona salsa tuko pamoja. Nimekubali intelijensia ya jk na mwandishi was makala hii 2011! Kumbe biashara ya kitambo hii? EL NA MBOWE WAKUOGOPA KAMA UKOMA. VIVA DR. SLAA NA LIPUMBA.
 
Kuna mpango wa Mwenyekiti wa Chadema Mh.Freeman Mbowe wa kulipwa mamilioni ya fedha ili Viongozi wa Chadema waache kumsema Mr. Monduli kuwa ni fisadi.

My Take:
Wale viongozi wa Chadema na wakereketwa waliopo humu JF watuthibitishie hii habari kama ni kweli.
Mkuu nickname, kwanza asante kwa hii kitu!, yaani ilipanda humu toka 31st March 2011 16:54, sijui mimi ilinipitia wapi?!

Mambo makubwa yanatokea hadi kupelekea watu muhimu kususa as if ni jambo la ghafla limetokea tuu bila kutarajiwa, kumbe ni pre meditated move, liliishapangwa kitambo!.

Ama kweli JF ni maktaba kubwa na nzuri sana ya rejea kuhusu siasa za Tanzania!.

Thanks.
Pas
co
 
Mbowe ni DJ mahili sana anayaweza kubadili mziki katikati ya mziki mwingine wakati wachezaji wakiendelea na style ile ile.

Lakini wakati huu alipobadilisha santuli wachezaji bado wanashangaa waanze kwa style gani kucheza huo mziki amebadili toka blues kwenda country music.

Kwa vile vijana wengi baada ya kulishwa Mbuluga na maziwa ya kopo ndo maana wengi wao wamekuwa -------/Low libido na thinking capacity yao imekuwa ndogo sana wamekuwa kama nyumbu fuata mwingine anakopita bila kufikilia hiyo njia ni salama au la.
 
Mabilioni ya kumchafua lowasa naona yameanza kufanya kazi,,,, hapo mmenoa tafuteni saizi yenu mziki wa chadema na lowasa hamuuwezi
 
Hatimaye yametimia mbaya zaidi Mbowe kakiri mazungumzo na Lowasa hayakuanza karibuni bali ya muda mrefu.
 
mefurahi sana kuona thread ya kitambo kama hii ikiwa "future oriented" yaani yote yametimia, kweli nimeamini lisemwalo lipo na km halipo linajongea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom