lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,202
- 33,670
Mbowe ni Mtu hatari Sana ,ataendelea kuiaibisha CCM Sana.Mpigania uhuru anayetamba barani Afrika, Laingwanani, Mtemi Isike au Abubakar Mbowe ameingia Jijini Mwanza usiku mzito , ili kuokoa wafuasi wa chama chake na Maaskofu waliokamatwa kinyume cha sheria za nchi .
Hata hivyo baada ya kusikia mwamba anaingia Mwanza watuhumiwa wote 128 walioshikiliwa mateka wakaachiwa bila masharti yoyote
Yuko makini mno yaani.